Just do this, before you pack your bags and leave for good from your marriage with your kids, he is still your husband, ask him for a one month leave that should tally with the work leave only if you are working. Hapo waweza kwenda hoteli yoyote kutokana na uwezo wako na kama inawezekana muombe na yeye akufinance huko enjoy with your kids na usiwe na mawasiliano na mtu yeyote yule yaani uwe wewe tuu na watoto. Kama ni mama wa nyumbani au mjasiriamali au umejiri na biashara zako unaweza kaa zaidi ya miezi 2, ukiwa huko kwenye hiyo likizo waza mara mbili je unaweza kaa bila mumeo au utaanza kummiss na kuona bora awepo hata kama ni mzigo.
Usifikiri watu wengine wanaenda kwenye harusi pamoja wamevaa wamependeza ujue wanalea watoto na mapenzi yalishaisha siku nyingi. Wakiingia chumbani kwao wanalala mzungu wa nne au kila mtu analala kitanda chake na wengine vyumba tofauti kabisa ila hawaachani.
Think twice before you leave your marriage. Namuomba BAK aje akuwekee kibao cha celine dion cha think twice may be kitakubadili mawazo yako.
All the best mamy.
Ah ah ah ah! eventually Sakapal is back at his/her senses! dah best kama ungekuwa unatoa nondo hizi siku ile ya matofali ya moto na mabarafu tusingegombana! mimi niwaonye tu wanajamvi wengine humu wasiwe sababu ya kutenganisha ndoa hii bali wawe wajengaji ili kuona kama wanaweza kuiponya ndoa hii kama ulivyo sema sakapal. maana kuna wengine si waolewaji au ni wabomoaji wa ndoa za watu na wako humu JF so wanaweza kuwa sababu ya kuharibu ndoa kama hii