wazungu wana tabia gani mkuu?
sio tabia...kwanza kabisa ukioa mzungu unahakikisha kwamba mtoto wako ana passport ya eu au marekani. that ni maendeleo in the sense kwamba mtoto wako hatapata tabu za kijinga jinga.
na kama ikiwezekana ao british....becoz to be born british is to win the lotary of life.....yaani wewe mtoto wako lugha mama ndio lugha inayotawala hapa duniani...hapa ni maendeleo sana maana totoz angalu skonga hatapata tabu sana kama hawa wetu wa shule za kata.....maendeleo not interms of monetary value but rather interms of potential to have a decent life for ur offsprings