[QU OTE=kumusoma;14812253]Ni muda muafaka wa wandishi wa habari wa Tanzania kujifunza na kuelewa maadili ya kazi zao.Wandishi wanatakiwa wajifunze kuheshimu viongozi wa Taifa.Lakini wandishi wengi wa Tanzania hawajui maadili ya kazi zao, wanaandika tu habari, ili mradi uhuru wa vyombo vya...
Km kungekuwa na shindano la watu wajinga, wewe ungeibuka mshindi......uchochezi unatoka wapi kwenye hiyo kauli????? Tuondolee ukanjanja wako wa kifisiem hapa jf..... Ukiwa una akili iliyodumaa hivi unahitaji.... Elimu..... Elimu...... Elimu.........
Nenda kamuulize mwakyembe km alikuwa na watu mia moja kwenye mkutano wake uliofanyika ipinda leo...... Yeye hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi.......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.