kweli kubenea n hatariiiii kwa ccm
asante mkuu .Kyela walinifurahisha kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, sina shaka na general election!
Aliyohutubia kubenea hapo ni mazito
kubenea ni shujaa !
pole sana mkuu , kubenea huyoooo !!! anaingia bungeni kupitia ubungo , wewe endelea kula mihogo .Kubenea ana ushujaa gani? Mnafiki mkubwa huyo, aweke makala zake za mwanahalisi tuone anavyojaribu kuwafanya watanzania mazezeta. Hafai kabisa mnadikiuhuyu
"Number alwayz dont lie"Hayo ni maneno ya Mh.Sugu bungeni wakati akichangia bajeti ya serikali.Hapa nilimwona kidogo ana akili...ila kitendo cha yeye kuamua okota namber yenye jina la Fisadi papa Lowass ndo nikajua kumbe ata ule msemo aliu-copy na yeye akapaste bila kujua una maana gani?.kama alivyookota number ya mke anaye weka makalio wazi sehemu za umma.
mwanyamaki kushinda ubunge wa kyela kwa 70% , CC - Mgirik , masonjo na wachumia tumbo wote ndani na nje ya jf .
Erythrocyte kama mwanyamaki ataichukua kyela mm ntatembea uchi kutoka dar mpaka matema
Chadema haina rasilimali watu.ina maana hakuna viongozi kiasi cha kumtoa kubenea alie taabani jimboni kwake ubungo mbampeleka kyela kumpigia mtu kampeni.
Erythrocyte kama mwanyamaki ataichukua kyela mm ntatembea uchi kutoka dar mpaka matema
Duh mafuriko yaligoma?huo umati utadhan ufunguzi wa kampeni za udiwani.