Rungu
JF-Expert Member
- Feb 23, 2007
- 3,932
- 1,727
Kwenye hiyo avatar yako inaonekana unafakamia ulabu na unachanganya na msokoto (weed). Hivi utaweza kuona kweli katika hali hii?Azam TV IPI? Mbona sioni?
Kwenye hiyo avatar yako inaonekana unafakamia ulabu na unachanganya na msokoto (weed). Hivi utaweza kuona kweli katika hali hii?Azam TV IPI? Mbona sioni?
Hana jipya huyu mchagga mzushi sana.
Hana jipya huyu mchagga mzushi sana.
Yule ni zero tuuu
Hana jipya huyu mchagga mzushi sana.
Mbatia tumeshamchoka sasa!
Mbatia tumeshamchoka sasa!
Ndo maana jimbon kwake madiwan wa chadema wametangaza kutomuunga mkono kwenye harakat za kampen na Leo wanachama wa vyama vinavyounda ukawa na viongoz wao wapatao 600 wamevihama vyama hvyo mwka huu ukawa itakua ukiwa
Huna jipya wewe .... Kaa na liccm lako la kifisadi
UKAWA ndio wameshamiri kwenye mi tv nyakati hizi. Ccm chalii hakuna cha kinana wala nape
Anawasihi watanzania kudumisha amani iliyopo na kuwapuuza CCM kwa matamko wanayoashiria kuvunja amani ya nchi yetu.
Anasema waepuke dhana inayojengwa kwa chuki ya udini ukabila na ukanda kwamba huu ni uvivu wa kufikiri kwa viongozi wa CCM
Anawasihi watanzania kudumisha amani iliyopo na kuwapuuza CCM kwa matamko wanayoashiria kuvunja amani ya nchi yetu.
Anasema waepuke dhana inayojengwa kwa chuki ya udini ukabila na ukanda kwamba huu ni uvivu wa kufikiri kwa viongozi wa CCM
Ndo maana jimbon kwake madiwan wa chadema wametangaza kutomuunga mkono kwenye harakat za kampen na Leo wanachama wa vyama vinavyounda ukawa na viongoz wao wapatao 600 wamevihama vyama hvyo mwka huu ukawa itakua ukiwa