williewillie
Member
- Mar 2, 2015
- 85
- 23
Chadema haina rasilimali watu.ina maana hakuna viongozi kiasi cha kumtoa kubenea alie taabani jimboni kwake ubungo mbampeleka kyela kumpigia mtu kampeni.
Ulitaka wakachukue kale kababu kanakokula mihogo kama. Balanced diet???