Cyo kwamba jitihada hazifanyiki na siyo kwamba serikali haioni na pia haifurahishwi na kinachoendelea na siyo mpango kabisa wa serikali ila jitihada mbalimbali zinafanyika aana sasa kuifanya hali kuwa sawa na muda si mrefu hali itakuwa shwari
Sasa hawa jamaa wasipoangaliwa vizuri wataiharibu amani ya maeneo mengine ya nchi nani hatari sana kwa taifa maana tunapoteza sana watu muhimu katika nchi
Kwa nini hukuuliza urudi baada ya muda gaji au uliamua kukaa kimya ili uweze kuoata la kulalamikia kumbuka anaofanya kazi ni binadamu na wanadamu cyo wakamilifu vp sasa kama alisahau huku wewe hujamuuliza huoni wewe una makosa
Huo ni uongo mimi nasoma chuo katoka kupata kadi yangu ya bima ya afya nililipia na niliisubiri kwa muda wa siku 21 na nikapata message niende nikachukue card yangu sasa wewe unayesema miezi sita sina uhakika kama una hata card ya bima ya afya ya nhif na kama unayo cyo wewe unaelipia umekatiwa...
Ila mbona mimi niliwahi kuyaokoa maisha ya mzazi wangu kupitia bima ya afya tena katika hali ya dharura na nilipata kibali cha matibabu kwa haraka bila hata ya usumbufu ila mimi naona ni bora tungefanya uchunguzi kwanza juu ya ukweli wa habari hii jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.