Wanajukwaa mimi ni mgeni jamii forum, hoja yangu inayonitatiza ni namna ya kuanzisha kikampuni cha utalii kwa level ya kawaida.
Hapa ninachotaka kujua ni taratibu zake na gharama zinazohitajika, Pia namna ya kupata hao watalii. Naomba mwongozo wenu wakuu.
Hivi wadau, unaweza kufungua vodashop yako private isiyomilikiwa na kampuni ya Vodacom.
2. Kuna hatua gani za kufuata.
3. Unahitajika uwe na mtaji kiasi gani?
3. Pia unatakiwa uwe na vitu gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.