Recent content by wildcaretz

  1. wildcaretz

    NECTA na usumbufu wa kupata matokeo

    Naomba ya Kwema secondary school mkuu
  2. wildcaretz

    NECTA na usumbufu wa kupata matokeo

    Naomba ya Kwema secondary school mkuu
  3. wildcaretz

    NECTA na usumbufu wa kupata matokeo

    Naomba ya Kwema secondary school mkuu
  4. wildcaretz

    NECTA na usumbufu wa kupata matokeo

    Mkuu naomba unipe ya Kwema secondary school
  5. wildcaretz

    Nataka kufungua kampuni ya utalii nifanyaje?

    Asante ndugu na vipi upatikanaji wa watalii unapataje maagent
  6. wildcaretz

    Biashara ya Nguo za Mtumba: Ushauri na Muongozo wa Kuifanya kwa Mafanikio

    JF hizi insu za biashara huwa hazijibiwi. Ingekuwa uteuzi au sasa.
  7. wildcaretz

    Nataka kufungua kampuni ya utalii nifanyaje?

    Wanajukwaa mimi ni mgeni jamii forum, hoja yangu inayonitatiza ni namna ya kuanzisha kikampuni cha utalii kwa level ya kawaida. Hapa ninachotaka kujua ni taratibu zake na gharama zinazohitajika, Pia namna ya kupata hao watalii. Naomba mwongozo wenu wakuu.
  8. wildcaretz

    Msaada; upatikanaji wa vyeti chuo kikuu

    Huo ndio utaratibu mkuu Kuwa mpole tu. Bila kutokea kwenye hiyo list hakuna utakachopata, utapiga kelele tu humu but nothing
  9. wildcaretz

    Nawezaje kufungua Vodashop isiyomilikiwa na Vodacom?

    Sawa mkuu hakuna anayejua humu atujuze kwa faida ya wengi
  10. wildcaretz

    Nawezaje kufungua Vodashop isiyomilikiwa na Vodacom?

    Hivi wadau, unaweza kufungua vodashop yako private isiyomilikiwa na kampuni ya Vodacom. 2. Kuna hatua gani za kufuata. 3. Unahitajika uwe na mtaji kiasi gani? 3. Pia unatakiwa uwe na vitu gani?
Back
Top Bottom