Recent content by wicklife

  1. W

    JamiiForums Tanzania Nimetoka Rwanda leo, kweli nimeamini Tanzania hamna wanawake

    [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
  2. W

    JamiiForums Tanzania Msaada; Naomba kujua sifa na ubaya wa Tandika Yombo

    Mmmmh mkuu huko si ndio kwenye mapanya road ña roba za mbao pole
  3. W

    JamiiForums Tanzania Nape Nnauye kuongea na wanahabari

    We kweli ni askar muoga ambae ulikimbia vita nchini kwenu, kwetu tz hakuna mwenye hati miliki ya nchi hii
  4. W

    JamiiForums Tanzania Sheria 13 za mpira wakati tukiwa watoto

    Pia nakumbukakulikuwa hakuna idadi maalum ya kubadilisha wachezaji
  5. W

    JamiiForums Tanzania Sheria 13 za mpira wakati tukiwa watoto

    Daaaah mkuu kigoma mitaa ipi mdau?
  6. W

    JamiiForums Tanzania Sheria 13 za mpira wakati tukiwa watoto

    Umenikumbusha mbali sana mkuu
  7. W

    JamiiForums Tanzania Hodi hodi kutoka kwa Kiranga

    Karibu mzaramu halisi bila chenga, kwa maneno hayo hata usingejitambulisha tungejua tu ni mzaramu kwakwel, karibu sana jamvini ndugu yake mbwiga mbwiguke
  8. W

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu kutinga Mahakama Kuu kushinikiza Maxence afikishwe Mahakamani

    Ivi kuna mawakili wengine sio wasomi et? Akomae kwanza na lema ndio aje huku kungine aisee atakuwa kapata kiki ya kutosha sana
  9. W

    JamiiForums Tanzania Natafuta mkopo wa 5M, dhamana vyeti vyangu

    Kwa mfano Ndo umeshakopeshwa then ukatokomea moja kwa moja hivyo vyeti vyako vitamsaidia nn muhusika aliyekukopesha, ukiangalia serekali ya sasa haitaji kuajiri watu kwa vyeti feki, pia hivyo vyeti sizani kama vitakuwa na Masada wowote hata ajira zenyewe hakuna, watu kibao wana vyeti...
  10. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Badoo inanivunjia uchumba wangu

    Mkuu kwan huoni hii story ni yalini? Toka 2015 mküu cheki vizur
  11. W

    JamiiForums Tanzania Hussein Pambakali kizimbani kwa utapeli wa 75ml

    Hii itakuwa mipasho ya mumivu Tu ya kitu fulani c bure,
  12. W

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kuhusu hela iliyotumwa M-Pesa kwenda bank na haikufika

    Mitandao ya sim huwa ni wahuni sana aisee, komaa nao mpaka wakupatie mpunga wako, kingine ukienda kwenye hizo ofisi za sim usipende kuongea na vikaragosi aka. Customer service, nenda kaongee na manager kabisa mueleze tatizo lako, hawa wengine zengwe jingi sana
  13. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Lazima heshima irudi

    Punguza munkari bi Dada, fikiria kabla ya kutenda, sio utende ndio ufikirie, maana ukifanya hivyo utakuja kujutia tena humu na kuomba ushaur tena
  14. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukiona mwanamke anafika Miaka 30 hajaolewa, kuwa nae makini kama unataka kumuoa

    Uelewa nao kazi, mtoa mada hajamlazimisha mtu kuolewa, anawataarifu wanawake wenye tabia hizo waache, hata ww kama ungekuwa na tabia hizo mmeo asingekuoa huna izo tabia ndio mana akakuridhia, la sivyo ungekuwa unaranda randa mtaani tu na kubadilisha mabwana
  15. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukiona mwanamke anafika Miaka 30 hajaolewa, kuwa nae makini kama unataka kumuoa

    Washikaji zako wangap mkuu, mbona kama unatupiga kamba sizani kama anazid mmoja aisee ww sema kuna mshikaji wangu na c washikaji au na ww umeoa above 30? , wengi wao hizo tabia ndio zinawafanya wafikie huko bila kuwa na ndoa mkuu
Back
Top Bottom