Recent content by wicklife

  1. W

    JamiiForums Tanzania Marekani yafikwa na upungufu mkubwa wa silaha

    Sawa , ngoja waje wamarekani wa kuchemsha , usikie mipasho yao
  2. W

    JamiiForums Tanzania Mary Claire: Sikumlazimisha anilipie ada na sikujua kuwa ameoa

    Kuna mmoja Leo alitaka kunitapeli kitita Cha. Shilingi elfu 10 ya kitanzania 🤣🤣 , nikastuka nikaamua na kufuta namba yake
  3. W

    JamiiForums Tanzania Wanaume mna shida gani? Unamuheshimu mtu, anakuja kukutongoza

    Kwa hiyo baba yako na mama yako hawaheshimiani ? Acha ushamba basi
  4. W

    JamiiForums Tanzania Watanzania tukikubali maridhiano na CCM tutakuwa watu wa ajabu sana. Damu ya Polepole itatulilia hadi kaburini

    Kwan CCM ,wenyewe sio watanzania? Hebu rekebisha kwanza kichwa chako Cha habari
  5. W

    JamiiForums Tanzania Nimetoka Rwanda leo, kweli nimeamini Tanzania hamna wanawake

    [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
  6. W

    JamiiForums Tanzania Msaada; Naomba kujua sifa na ubaya wa Tandika Yombo

    Mmmmh mkuu huko si ndio kwenye mapanya road ña roba za mbao pole
  7. W

    JamiiForums Tanzania Nape Nnauye kuongea na wanahabari

    We kweli ni askar muoga ambae ulikimbia vita nchini kwenu, kwetu tz hakuna mwenye hati miliki ya nchi hii
  8. W

    JamiiForums Tanzania Sheria 13 za mpira wakati tukiwa watoto

    Pia nakumbukakulikuwa hakuna idadi maalum ya kubadilisha wachezaji
  9. W

    JamiiForums Tanzania Sheria 13 za mpira wakati tukiwa watoto

    Daaaah mkuu kigoma mitaa ipi mdau?
  10. W

    JamiiForums Tanzania Sheria 13 za mpira wakati tukiwa watoto

    Umenikumbusha mbali sana mkuu
  11. W

    JamiiForums Tanzania Hodi hodi kutoka kwa Kiranga

    Karibu mzaramu halisi bila chenga, kwa maneno hayo hata usingejitambulisha tungejua tu ni mzaramu kwakwel, karibu sana jamvini ndugu yake mbwiga mbwiguke
  12. W

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu kutinga Mahakama Kuu kushinikiza Maxence afikishwe Mahakamani

    Ivi kuna mawakili wengine sio wasomi et? Akomae kwanza na lema ndio aje huku kungine aisee atakuwa kapata kiki ya kutosha sana
  13. W

    JamiiForums Tanzania Natafuta mkopo wa 5M, dhamana vyeti vyangu

    Kwa mfano Ndo umeshakopeshwa then ukatokomea moja kwa moja hivyo vyeti vyako vitamsaidia nn muhusika aliyekukopesha, ukiangalia serekali ya sasa haitaji kuajiri watu kwa vyeti feki, pia hivyo vyeti sizani kama vitakuwa na Masada wowote hata ajira zenyewe hakuna, watu kibao wana vyeti...
  14. W

    JamiiForums Tanzania Badoo inanivunjia uchumba wangu

    Mkuu kwan huoni hii story ni yalini? Toka 2015 mküu cheki vizur
  15. W

    JamiiForums Tanzania Hussein Pambakali kizimbani kwa utapeli wa 75ml

    Hii itakuwa mipasho ya mumivu Tu ya kitu fulani c bure,
Back
Top Bottom