ni kwasasabab zifuatazo.
1 ni chama kisichodili na udin ukanda wala ukabila.
2 kila mwanachama anaheshimika sawa na mwanachama mwingine popote ndan ya nchi.
3 kinatoa mamlaka kwa raia wake kumuadhib kiongoz wao hasa wabunge kwa kuchagua kiongoz mingine hatakama ni kutoka upinzan.
4 uvumiliv.
kwakwel kuna hii tabia imezuka ya watu kutukana viongoz wa nchi. na kukibeza sana chama cha mapinduzi. sielewi ni kwanini wamekuwa na chuki ya wazi kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.