Hiv kwanin hamuipend ccm?

Hiv kwanin hamuipend ccm?

wewekussa

Member
Joined
Mar 8, 2014
Posts
59
Reaction score
8
kwakwel kuna hii tabia imezuka ya watu kutukana viongoz wa nchi. na kukibeza sana chama cha mapinduzi. sielewi ni kwanini wamekuwa na chuki ya wazi kabisa.
 
kwakwel kuna hii tabia imezuka ya watu kutukana viongoz wa nchi. na kukibeza sana chama cha mapinduzi. sielewi ni kwanini wamekuwa na chuki ya wazi kabisa.
Mental case wahi milembe au lutindi ukatibiwe.
 
Ndio demokrasia hiyo!Na mkubali kusemwa kwa maneno makali na ya ukweli ambayo nyie mnaita matusi! Na sidhani kama wanawatukana au hawaipendi ccm bali matendo yanayofanywa na baadhi ya viongozi wa ccm, sijawahi sikia mtu akimsema vibaya mtu kama mwandosya lakin ni ccm damu
 
Ndio demokrasia hiyo!Na mkubali kusemwa kwa maneno makali na ya ukweli ambayo nyie mnaita matusi! Na sidhani kama wanawatukana au hawaipendi ccm bali matendo yanayofanywa na baadhi ya viongozi wa ccm, sijawahi sikia mtu akimsema vibaya mtu kama mwandosya lakin ni ccm damu

Umemaliza kabisa na kama katumwa basi akawaambie hilo tu linatosha!!!!

By the way kama bunge la katiba hawata li handle kwa umakini na inavyotakiwa basi kazi itakuwa ngumu zaidi!!!!
 
kwakwel kuna hii tabia imezuka ya watu kutukana viongoz wa nchi. na kukibeza sana chama cha mapinduzi. sielewi ni kwanini wamekuwa na chuki ya wazi kabisa.

Kwanza ni dhihaka kuwaita wanajumuiya wa CCM kwamba ni viongozi, kiongozi hua anajua ethics za leadership, instead ukiwaita watawala it sound romantic! Mimi swali langu liko tofauti kidogo, hivi unaipenda CCM? Toa sababu ili upewe za kwanini inachukiwa! Kwenye majibu yako ambatanisha interests if there is any ili kujidefend!
 
kwakwel kuna hii tabia imezuka ya watu kutukana viongoz wa nchi. na kukibeza sana chama cha mapinduzi. sielewi ni kwanini wamekuwa na chuki ya wazi kabisa.

Na ww kwann huipendi chadema?
 
Kwanza ni dhihaka kuwaita wanajumuiya wa CCM kwamba ni viongozi, kiongozi hua anajua ethics za leadership, instead ukiwaita watawala it sound romantic! Mimi swali langu liko tofauti kidogo, hivi unaipenda CCM? Toa sababu ili upewe za kwanini inachukiwa! Kwenye majibu yako ambatanisha interests if there is any ili kujidefend!

ni kwasasabab zifuatazo.
1 ni chama kisichodili na udin ukanda wala ukabila.
2 kila mwanachama anaheshimika sawa na mwanachama mwingine popote ndan ya nchi.
3 kinatoa mamlaka kwa raia wake kumuadhib kiongoz wao hasa wabunge kwa kuchagua kiongoz mingine hatakama ni kutoka upinzan.
4 uvumiliv.
 
kwakwel kuna hii tabia imezuka ya watu kutukana viongoz wa nchi. na kukibeza sana chama cha mapinduzi. sielewi ni kwanini wamekuwa na chuki ya wazi kabisa.

Hii mada ungeiweka jukwaa la siasa! Waombe tu mods waipeleke kule!
But kwa vile umeiweka jukwaa la katiba nitakujibu kwa kuzingatia katiba mpya:

CCM ni chama chenye sera za kipuuzi!
  • Kudai kura ya wazi kwa masuala nyeti kama muundo wa serikali, ie tatu au mbili, ni kudumaza democrasia na kuwafanya watu wasitoe ya moyoni na kutoa misimamo ya vyama vyao ili waendelee kubaki madarakani na kurefusha maisha yao!
  • Kuendelea na serikali mbili ni upuuzi wao mwengine!
 
ni kwasasabab zifuatazo.
1 ni chama kisichodili na udin ukanda wala ukabila.
2 kila mwanachama anaheshimika sawa na mwanachama mwingine popote ndan ya nchi.
3 kinatoa mamlaka kwa raia wake kumuadhib kiongoz wao hasa wabunge kwa kuchagua kiongoz mingine hatakama ni kutoka upinzan.
4 uvumiliv.

Insane!...
 
Hii mada ungeiweka jukwaa la siasa! Waombe tu mods waipeleke kule!
But kwa vile umeiweka jukwaa la katiba nitakujibu kwa kuzingatia katiba mpya:

CCM ni chama chenye sera za kipuuzi!
  • Kudai kura ya wazi kwa masuala nyeti kama muundo wa serikali, ie tatu au mbili, ni kudumaza democrasia na kuwafanya watu wasitoe ya moyoni na kutoa misimamo ya vyama vyao ili waendelee kubaki madarakani na kurefusha maisha yao!
  • Kuendelea na serikali mbili ni upuuzi wao mwengine!

sasa naanza kuelewa. kumbe wanaoichukia ccm sii wananchi, bali ni wafuasi wa vyama vya upinzaniii. ok.
 
Kwa sababu ni wapuuzi na washenzi wakubwa !

Sababu zipo nyingi tu na wengi wanazielewa. Sitakutajia sababu yeyote wewe kwa sababu najua either ni mmoja wao au una interest na hiyo CCM hivyo hata ukieleweshwa hutaelewa au utaamua kutokuelewa !

kwakwel kuna hii tabia imezuka ya watu kutukana viongoz wa nchi. na kukibeza sana chama cha mapinduzi. sielewi ni kwanini wamekuwa na chuki ya wazi kabisa.
 
kwakwel kuna hii tabia imezuka ya watu kutukana viongoz wa nchi. na kukibeza sana chama cha mapinduzi. sielewi ni kwanini wamekuwa na chuki ya wazi kabisa.
wewekussa
===>Fursa zooote za nchi hiii wanagawana wao na watoto wao,mimi mkazi wa mabondeni nateseka na mvua yangu,maji mpaka chumbani,wao wako oysterbay.
 
Last edited by a moderator:
Watu wameichoka kama alivyowahi kusema jk, kuwa watu wanaichukia ccm sababu ya ukongwe wake.
 
kwakwel kuna hii tabia imezuka ya watu kutukana viongoz wa nchi. na kukibeza sana chama cha mapinduzi. sielewi ni kwanini wamekuwa na chuki ya wazi kabisa.

Na hutakaa uelewe kwakuwa huna nia wala utayari wa kufanya hivyo ,kumbuka hatuwachukii wao na lichama lao bovu bali matendo yao na maamuzi yao mabovu ambayo yametufikisha hapa tulipo
 
wewekussa
===>Fursa zooote za nchi hiii wanagawana wao na watoto wao,mimi mkazi wa mabondeni nateseka na mvua yangu,maji mpaka chumbani,wao wako oysterbay.

Mapori yote ya nchi hii unakubali kununua kiwanja, unajenga na kuishi mabondeni? uonekane unaishi mjini!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom