MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Busara ya kuwa????kwa upeo wako nani yupo sahihi kwa sakata la leo?
Huu ushabiki wenu wa kijinga unaharibu sana mchakato wa kupata katiba bora kwa muda muafaka.
Busara ya kuwa????kwa upeo wako nani yupo sahihi kwa sakata la leo?
Kwahiyo na wewe unaamini hivyo?
tundu lissu ni mgonjwa wangu wa akili by dk hamis kigwangala
Siku akiacha kuropoka,jazba na kukurupuka anaweza kuaminika. Otherwise ni wale wale tu. Hana jipya.
Hujanijibu kijana wa buku 7 juu ya Sitta na lissu nani amekiuka?Huu ushabiki wenu wa kijinga unaharibu sana mchakato wa kupata katiba bora kwa muda muafaka.
Kwani bunge limeahirishwa kwa sababu ya Lissu? Acheni kujidanganya.
Siku akiacha kuropoka,jazba na kukurupuka anaweza kuaminika. Otherwise ni wale wale tu. Hana jipya.
Nyie mnaoleta ushabiki wa kijinga kwenye masuala nyeti ya nchi kama katiba ndio mnaowapa kichwa hawa wehu akina tundu Lissu wafanye vitendo vya kihuni huko bungeni na kusababisha bunge kuahirishwa mara kwa mara. Pesa za walipa kodi zinapotea bure.
Hongera Tundu Lissu, watanzania tupo nyuma yako.!
leo ndo mmejua zinapotea enheee? Mimi sio mpenzi wa mwanachama wa chadema na nilikuwa ni moja ya watu waliokuwa wanaona Tundu lisu ni mkorofi ila kwa hili la leo naungana naye kwa nguvu zote hivi unaujua mhuni? Wewe umejiwekea taratibu za nyumbani kwako afu wewe ndo uwe wa kwanza kwenda kinyume na utaratibu huo hivi wanao wakikuuliza atawaambia nyie watoto wahuni au wewe ndo mhuni na mshenzi usiyejitambua? Potelea mbali acha kodi ziende tu kuliko zingekuwa zinaenda kwa wabunge wa ccm tu hizo kodi zinaturudia mule ndani kuna watu 600 zinarudi tuNyie mnaoleta ushabiki wa kijinga kwenye masuala nyeti ya nchi kama katiba ndio mnaowapa kichwa hawa wehu akina tundu Lissu wafanye vitendo vya kihuni huko bungeni na kusababisha bunge kuahirishwa mara kwa mara. Pesa za walipa kodi zinapotea bure.
Kwani bunge limeahirishwa kwa sababu ya Lissu? Acheni kujidanganya.
Tundu lisu shikamoo..nina miaka 53. Lakini nimekuamkia
Busara za sitta ndio zimepelekea yeye kuahirisha bunge, na sio porojo za Lissu.
Sawa chooni si unadhani watz bado wana akili kama za mabest zako mende; ngoja Tundu awachemshe .Busara za sitta ndio zimepelekea yeye kuahirisha bunge, na sio porojo za Lissu.
MSALANI unachekesha kweli..
Haya karopoka tu Bunge limeahirishwa..
Akiongea bila jazba si JK anaweza kujiuzulu!!??.. 😉