Nafasi hizo sikuwahi kuzipenda uoga hasa nikiona sinema za 007 James bond zile daah,zamani zile jkt miaka ile waliomba watu tuende cadet, wengine walienda,among them wapo ambao ni Tiss sasa,chanel nyingi uanze kuingia via majeshi kawaida wanapotangaza then utaomba humohumo,watakuwa wamejiridhisha