sostenes mbwelwa
JF-Expert Member
- Jul 25, 2016
- 289
- 138
Ahsante mkuu lkn nirejee maandiko yako kwamba hata yesu alipingwa tena hata nawatawala wajuu.. Baadae alirudi kusujudiwa.... Katika hili mungu atupe ufaham wakujua nani yupo na moyo wakweli kajitoa kwaajili ya wengine.Nyie wenyewe na polisi wenu mmemjengea Lissu popularity kubwa sana kwa muda mfupi sana! Sasa hivi ukiitisha uchaguzi wa Urais na ukaweka wagombea JPM na Lissu, uchaguzi ukawa huru na wa haki bila vyombo vya dola kupendelea au kuhujumu upande wowote, ndio utajua kuwa nani ni nani!!!
Sent using Jamii Forums mobile app