Kwa mwenye uelewa wa hizi flat screen mbili,
"Star x na hisense"
Yaani kichwa kimegoma kabisa naomba msaada wa maelezo yatakayonishawishi kununua moja ya brand hizo tajwa. Mfuko wangu uko na 300K hivyo nahitaji sana kuwa na huduma hiyo, maana chogo nimechoka kwakweli.
Hivii hii mifumo dume itaisha lini? Mi naona Kama mume kufuhamu kipato cha mkewe inapendeza kwani inakufanya ujue mahitaj ya nyumba na kwakiasi gani mnaweza kufanya vitu vya maendeleo kwa urahis zaidi
Ila kila nyumba/ndoa inamipaka yake ila ni bora kuwa kitu kimoja na kunafaida mno kwa mume...
Hayaa mambo ya ma x ndio huwa yananifanya nichelewe kuoa, sasa mkuu embu Fanya huo ushauri anaomba mkeo we ungejiskiaje?? Acha hizo mkuu komaa na mkeo aisee usije kumletea maradhii.
Hahahaaa jamaaa ni complicater we angalia majibu yake na maswalii utagunduaa kunakitu fulanii hivii, nimejaribu kugongana nae humu ndani ila nimeshamsomaa huwa namkimbiaa
Anaatumaswalii twingii sanaa tuwa ajabu ajabuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.