Diamond amezidi kujidhihirishia ubora wake dhidi ya Davido

Diamond amezidi kujidhihirishia ubora wake dhidi ya Davido

Yayyyyyyyy!!!!!!! Thats our boy , lets keeep voting! and voting! And voting!!!! Mpk kielewekeeee.......
 
Kama msanii bora angekuwa anapimwa na views za youtube....yule Psy wa Gangnam style ni msanii bora kuwahi kutokea Duniani..
 
Kama msanii bora angekuwa anapimwa na views za youtube....yule Psy wa Gangnam style ni msanii bora kuwahi kutokea Duniani..

Tena alivunja record YouTube kwa video yake kuwa na viewers wengi zaidi ya billion.
 
Kama msanii bora angekuwa anapimwa na views za youtube....yule Psy wa Gangnam style ni msanii bora kuwahi kutokea Duniani..

Video ya bongo inayoongoza kwa views nyingi YouTube ni sugua gaga,sasa tuseme ni bora kuliko diamond!
 
Tena alivunja record YouTube kwa video yake kuwa na viewers wengi zaidi ya billion.
kuna harambee ya kumchangia kiba ili amalizie nyumba yke aepuke manyanyaso ya kufukuzwa kwenye nyumba za watu tunomba mchango wako.

asante.
 
Tena alivunja record YouTube kwa video yake kuwa na viewers wengi zaidi ya billion.

youtube haiwezi kuwa kipimo pekee cha ubora, but ni muhimu kinoma kwanza inaonyesha jinsi gani wadau wamepokea kazi yako coz si wote tunaokaa kuangalia tv, pili kila view ni pesa kwa msanii

Ndio maana wasanii wengi wakubwa huwa wanafurahi na kutoa shukrani kwenye pages zao kwenye hili, jana davido ndio katimiza views milioni akapost kwenye page yake na kuandika record breaker wakati ni kwa siku 15 diamond akiwa amempiga gap kwa siku 12, nashukuru mashabiki wa bongo huwa hawamuachi mtu wakampa makavu hahahaha...
 
Team kibakaz watalamba ndimu sana.

Msimu wa ndimu umeisha wacha watapike tu,manake hata kideo cha chekecha hakijatoka mwaka unaisha huu,na nyumba kafukuzwa anaishi kwenye madaladala anazuga ni tour.
 
Back
Top Bottom