NAOMBA UTARATIBU ..MFANO MIE NIMENUNUA NYUMBA LAKINI BAADA YA MIAKA KADHAA TANESKO WAKAGUNDUA NYAYA ZAO ZILICHUBULIWA KWA MAANA YA KITAMBO KUNA MTUMIAJI AMEWAH KUHUJUMU TANESKO
.SASA CHA KUSHANGAZA NAAMBIWA KULIPIA 480.000 ETI NI GHARAMA ZA UKAGUZI NA KUWEKA WAYA MWINGINE ..KWA HALI ILIVYO...
Wakuu poleni na majukumu...naombeni msaada huyu dogo kaenda hospital lakn dawa alizopewa hazijamsaidia hali bado inaongezeka kwa kas...msaada tafadhari
Wakuu kwa yeyote anaejua chochote kuhusu hii app tafadhali atushirikishe maana nimejaribu kuifuatilia mitandaon inazungumziwa kuleta utajiri kwa watu...
Naomba kuwasilisha
Akili yako imelala amka...kama ni kilo 19 ndo kakokotoa pale kwamba thamani itapanda sasa na kuwa trillion kadhaa huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kitu ni serious lakini nimesikitishwa na comment za watu..ebu wewe ulie comment upuuzi jaribu kuvaa uhusika uone..!!!! Brother ushauri autofautiani kabisa na wa scorpion girl..Mungu atakujaalia uzima..
Mtoa mada big up sana
Mchumba wangu ni mpole sana nilipogundua point anazochangia kwenye magrup yao ikanisaidia kumjua yeye ni mtu wa aina gani ...nimegundua mdomo wake ni mchafu anasema matusi hatari na nimemuogopa na sijaamin kama ni yy
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.