Tunapokea jumbe nyingi sana na tunajitahidi kuzipitia zote.. Ila tutaongeza kasi mkuu..
Nafasi za umod zitatangazwa endapo tutahitaji kuongeza nguvu, usijali kabisa..
Kweli mkuu umeamua kutuchana!
BAN hutembea kwa wale wakorofi wanaovunja sheria za jamvini kwa makusudi licha ya wengi wao kuonywa mara kadhaa... Hata hivyo kuna kukata rufaa unapoona adhabu uliyopewa haistahili (support@jamiiforums.com).
Ila na mie ngoja niwachane kidogo baadhi ya members...
Interview nzuri. Maswali na Majibu (Q&A Session) ilikaa vyema sana.
Hongereni sana wakuu kiwatengu na atoto na wote mlioshiriki.
I am impressed!
Keep it up.
Ndugu Makapuku,
Malalamiko yenu kuhusu suala la Likes na mengineyo yanafanyiwa kazi. Hii ni changamoto ya JF nzima kwa sasa.
Na niwakumbushe tu, hizi harakati za 'Ukapuku' ziwe ni kwa nia njema na msisahau kuzingatia Sheria za JF.
Nawatakia kila la heri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.