Mwili wa mwanamke wakutwa guest baada ya kutelekezwa

Nsumba ntale tz

JF-Expert Member
Apr 19, 2016
713
762
Maiti imekutwa Gest baada ya aliokuwa nae kukimbia... Inasemekana ameuliwa na mtu aliokuwa nae maeneo ya Ubungo Kibo. Kama unamjua toa taarifa kwa ndugu zake.

Samahani kwa picha..

IMG-20160502-WA0005.jpg
 
Duuuuuh jamaniiii!
Haya tufanye kushea hii habari kupitia WhatsApp na kwingineko.
Ndugu zake wakishapatikana nashauri picha ziondolewe.
 
daaaah usihukumu usije ukahukumiwa ila kwa mazingira hayo
MSHAHARA WA DHAMBI NI MAUTI
 
Mungu amsamehe Makosa yake!
Jamani kwani nani amethibitisha kwamba alienda huko kwa ajili ya kutenda dhambi !!! Huenda yuko safarini, alienda huko ili kesha yake aende kupanda gari stend ya mikoani Ubungo, kwa nini tunahukumu ?? Hala Mdada mzuri sana, tazama lips.
 
Jamani kwani nani amethibitisha kwamba alienda huko kwa ajili ya kutenda dhambi !!! Huenda yuko safarini, alienda huko ili kesha yake aende kupanda gari stend ya mikoani Ubungo, kwa nini tunahukumu ?? Hala Mdada mzuri sana, tazama lips.

Sijahukumu,nimemuombea msamaha kwa mola wake. Kwan wewe ukisikia ndo amefariki ukakuta tumeandika R.I.P maana yake tumehukumu?au kwa kuwa nimeandika kwa kiswahili na hujazoea?
 
Wamepiga mechi na kufungana magoli halafu wanatoana roho, sijui binadamu tukoje mweeeeeee
 
Back
Top Bottom