Kwani hujui magamba wanawatumikia wawekezaji?
MAWASILIANO ni voda, airtel, tigo ... akitoka hapo anaenda kuwafanyia mpango TCRA au TIC
KILIMO KWANZA ni wawekezaji toka magharibi na mashariki, na kuwaunganisha na TIC
MADINI, UTALII ni hivyo hivyo
Shule na vyuo vyetu hakuna anayehangaika navyo...