BOU NAKO alimuita wazichape tena mpaka kesho ajamfuata na bou nako anaingia bongo kama kawa na alitunga wimbo akamuambia kalapina wew ni shoga njoo tuzichape uone
Kalapina ukitaka uwaweza wale waroma kampige kwanza BOO NAKO wa nako 2 nako ,,,,,,usituletee kiki huku utafumuliwa marinda we jamaa ulifikiri wale ni watoto wa manzese....
We ndio kilaza kila kitu siasa sahau hizi hoja zenu za kisiasa kwenye system nazani hadi bungen mlijaribu kuwabeep ila system sio wa ivyo akili zenu wanasiasa mnachowaza
Rai yangu mim ni mkristo tena RC katika huu uzi watu tutoe hoja na sio kutukana dini ya ndugu zetu ,,,hapa tuwalaani hawa wanaotumia cover ya dini ya kiislamu ila sio uislamu unaimiza vitendo hivi viovu ila ni watu wachache tena wapumbavu so tulaani kwa mauaji waliyofanya na wachukuliwe hatua...
Umejitaidi kutumwa na manyumbu wanywa viroba wenzio wa peoples ,,,na bado mtasema magu anakula hadi wake zenu ,,utendaji kazi wake mzuri mnawafanya mnawashwa mtakunwa awamu hii mpaka muelewe soma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.