Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
Akibadili kifungu cha katiba na kuruhusu maraisi wastaafu kushitakiwa nitaamini yupo siriazi
Akibadili tu ninakupa beer leo,maana kubadili hata nukta maana yake na yeye atashtakiwa kwa maajabu yake.Kivuko kibovu,Barabara substandard,Mikataba ya ununuzi wa ndege,uwanja wa ndege wa chato,matumizi mabaya ya madaraka
Duh sidhani kama atapagusa hapo