Recent content by Wanji

  1. W

    Nahitaji mkopo wa Milion 3 nalipa Milion 3.5 Ndani ya miezi miwili tu. Bond kiwanja

    Hizo hela ni kwa biashara gani? Una uhakika gani utaweza kulipa 3.5m baada ya miezi 2?
  2. W

    Natafuta gari nifanye biashara ya uber

    Umeshawahi kufanya hiyo kazi? Kwa makubaliano yapi?
  3. W

    Nahitaji mkopo

    Hujasema unahitaji kiasi gani, utarudisha lini, riba kiasi gani uko tayari?
  4. W

    Nahitaji mkopo ili nikuze biashara yangu

    Mtaji wa biashara yako sasa ni kiasi gani? Mauzo kwa mwezi yakoje.
  5. W

    Biashara ya samaki

    Hupatikani
  6. W

    Biashara ya samaki

    Unao kiasi gani? Unaleta mara ngapi Dar?
  7. W

    Aquariam ya samaki

    Nenda Orca Deco Nyerere Road karibu na Toyota (international motor mart). Au Upanga barabara ya Ali Hassan Mwinyi karibu na Palm Beach. Utaona duka liko kwenye container liko barabani kabisa.
  8. W

    Nafasi za kazi TPA

    Please niPM with your details. Umesoma nini, wapi, experience yako and all other necessary details.
  9. W

    Mkopo mkopo mkopo mkopo mkopo mkopo

    Kama kweli unataka mkopo, toa maelezo yaliyokamilika mkuu. Kiwanja kina ukubwa gani? kiko kando ya barabara ya kwenda wapi? Unataka mkopo wa laki tano kwa muda gani? uko tayari kutoa riba ya asimilia ngapi kwa mwezi? etc
  10. W

    Kiwanja kinauzwa msumi

    Huko Mbopo ndio wapi?
  11. W

    Ekari 5 si mbali na mji wa dar ( idea)

    Maeneo mazuri mengi yapo kigamboni, bei sio mbaya sana.
  12. W

    Baada ya kugundua kuwa niko JF amani imetoweka

    Mume wako ndio huyu nini? New2JF Yesterday 14:52 #1 Senior MemberArray Join Date : 25th October 2011 Posts : 101 Rep Power : 359 Likes Received21 Likes Given8 Unbelievable: Kumbe mke wangu ni JF Premium member!!Jamani jamani jana nimekuta kitu ch tofauti sana...kumbe mke wangu...
  13. W

    Vigogo wa tanesco waliosimamishwa wamwaga michuzi kwa wabunge wawatete

    Join Date : 19th July 2012 Posts : 2 Rep Power : 0 Likes Received0 Likes Given0
  14. W

    Tuliwalinda zaidi CDM - Polisi aliyekuwepo Ndago

    Join Date : 16th July 2012 Posts : 10 Rep Power : 303 Likes Received0 Likes Given17
  15. W

    Madaktari bingwa Muhimbili Watangaza mgomo rasmi

    "KAMATI YA JUMUIYA YA MADAKTARI TANZANIA 02.07.2012 PRESS RELEASE TAARIFA YA JUMUIYA YA MADAKTARI KUHUSU MAAMUZI YA SERIKALI KUFUATIA HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YAWA TANZANIA TAREHE 1 JULAI 2012 JUU YA MGOGORO KATI YA SERIKALI NA MADAKTARI Utangulizi Jumuiya ya madaktari imepokea kwa masikitiko...
Back
Top Bottom