Nafasi za kazi TPA

Nafasi za kazi TPA

Angalia si umemuona Kennedy(Ofisa wa TPA) kakamatwa kwa wizi au haujaangalia ITV? Halafu usipende kufanya kazi pale kuna mashushu kibao pale wala haufanyi kazi kwa raha subiri usalama wa taifa mpya ataajiriwa kwenye position ya juu pale na lengo lake ni kwenda kuwabaini wafanyakazi wanaohujumu uchumi,tafuta kwingine TPA ya sasa sio ile ya zamani!! Ya sasa kuna Ma-spy kibao pale.....
 
Mkuu DHANDO, MAERSK nazo ni ICDs? Mi nazijua AMI, DICD, PMM, TRH, UL HUSSUM, EAST COAST. Kumbe haya makitu yamepanuka namna hii? Watu wanajilia vyao kilaini.

Thanxs mwakitobe mana shipping line nyingine nilikuwa sizifahamu.je naweza nikafanya clearing pia
?
 
thanx all mlionisapot mana sikuwa najua baadhi ya shipping line thanx mwakitobe
 
Thanxs mwakitobe mana shipping line nyingine nilikuwa sizifahamu.je naweza nikafanya clearing pia
?

Yeah!kutokana na tatizo la ajira waweza kuanza na hiyo,Pia jaribu kuomba hata internship(mafunzo kwa vitendo) kwanza katika bandari kama za Mtwara au Mwanza(L.Vctria)
 
Lakini jua kwamba,hizo kazi za clearing zinahitaji moyo sana,na ujanja mwingi ili uweze kutoka,vingine inaweza kukupa experience, exposure &network kubwa kufahamiana na watu wa bandari au shipping lines,kitu ambacho kinaweza kukusaidia baadae kupata kazi katika sehemu husika.
 
Ukishindwa kabisa,jaribu kujiajiri hata kwa kuanza na biashara ndogo.Take care sana na hao watu wanaotaka uwa-pm,wanaweza kutumia shida yako kama furaha kwao,we mkubwa,najua umenielewa.
 
Ukishindwa kabisa,jaribu kujiajiri hata kwa kuanza na biashara ndogo.Take care sana na hao watu wanaotaka uwa-pm,wanaweza kutumia shida yako kama furaha kwao,we mkubwa,najua umenielewa.

bora umwambie maana huyu Asprin balaa all in all namtakia mafanikio mema
 
Last edited by a moderator:
Upo sahihi kwa sasa TPA hawaajiri
Ndio Mganga wako kakuambia lazima ufanye kazi TPA ndipo utoke kimaisha, au tayari una kimemo cha ajira TPA? Mkuu tafuta kazi na sehemu zingine huenda TPA wasiajiri tena hivi karibuni.
 
Back
Top Bottom