The only JF-Expert Member May 19, 2011 10,433 13,415 Oct 18, 2012 #1 Nahitaji ninunue ekari tano mahari si mbali na dar ilinizipime viwe viwanja,Sasa wajuzi wa jiji hebu nipeni mawazo yakinifu,nasubiri hekma zenu.
Nahitaji ninunue ekari tano mahari si mbali na dar ilinizipime viwe viwanja,Sasa wajuzi wa jiji hebu nipeni mawazo yakinifu,nasubiri hekma zenu.
W Wanji Member Jul 28, 2010 64 4 Oct 18, 2012 #3 Maeneo mazuri mengi yapo kigamboni, bei sio mbaya sana.