Steven Jeff
Member
- Jul 19, 2012
- 6
- 0
Vigogo wa tanesco wazidi kutapatapa sasa wakimbilia bungeni na wamwaga michuzi kwa wabunge hasa wale wa kamati ya nishati na madini na ile ya kina zitto. baadhi ya wabunge wapokea michuzi hiyo inadaiwa ni milioni tano kila mmoja pesa hizo zimewalewesha na kuamua kuita waziri muhongo katika kamati na kumzomea awarudishe vigogo hao na waahidi kukwamisha bajeti ya wizara ya nishati na madini.
hivi kweli kwa tatizo la umeme linalolikumba nchi hii kuna mtu wa kuwatetea mafisadi hawa wa tanesco ambao walizoea kuomba rushwa wakati tukitaka kuunganishiwa umeme sasa amekuja mchapa kazi wanataka kumkwamisha tena baada ya kuwaambua kwamba hawawezi kazi, hivi hawa wabunge tumewatuma wakawatete mafisadi au wakatutee sisi wananchi. eti washkaji nasikia hata kina Ole Sendeka na Zitto wamo kwenye mgawo huo wa mamilioni kumbe zile kelele wanazopiga ni kiini macho lakini mlungula wa Mhando wamechukua. kuna mmbunge mmojawao amenitonya eti walikuwa wanatete hadi mapovu yanawatoka jama pesa kumbe tamu hivyo hadi wametusahau huku sisi tuliotuma kwamba hatuna maji, umeme, barabara n.k. washkaji au twende huko huko Dodoma tukawachape viboko
hivi kweli kwa tatizo la umeme linalolikumba nchi hii kuna mtu wa kuwatetea mafisadi hawa wa tanesco ambao walizoea kuomba rushwa wakati tukitaka kuunganishiwa umeme sasa amekuja mchapa kazi wanataka kumkwamisha tena baada ya kuwaambua kwamba hawawezi kazi, hivi hawa wabunge tumewatuma wakawatete mafisadi au wakatutee sisi wananchi. eti washkaji nasikia hata kina Ole Sendeka na Zitto wamo kwenye mgawo huo wa mamilioni kumbe zile kelele wanazopiga ni kiini macho lakini mlungula wa Mhando wamechukua. kuna mmbunge mmojawao amenitonya eti walikuwa wanatete hadi mapovu yanawatoka jama pesa kumbe tamu hivyo hadi wametusahau huku sisi tuliotuma kwamba hatuna maji, umeme, barabara n.k. washkaji au twende huko huko Dodoma tukawachape viboko