Mi siwezi lala bila kuvuta,siwezi toka ndani asubuhi bila kuvuta,
Balaa laja mwezi mtukufu huwezi vuta ndani ya swaumu,Mda WA kufuturu nakiwasha kwanza,nyie malizeni tu ftari,,,,acha tuu🙌
Naomba nitofautiane nawe,hayo mambo hayakuanza jana.Toka kuumbwa KWA Dunia,mfano rahisi kuposwa KWA mama ake Yesu na Joseph akiwa na Miata 88,Umri wake kipindi hicho utashika mdomo.
Hizi taarifa za KISHIWA silaha ni za muda mrefu,kama utakumbuka US alisisitiza sana mazungumzo kule Pakistan.Iran ikasisitiza makombora ndio yaongee,unajua KWA nini?
Iran ilipenyezewa taarifa KUwa uwezo wa viwanda vya Us kuzalisha silaha KWA mwaka ni makombora mia saba Xi Jinping ,🙄
Wakitumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.