Recent content by wangatala

  1. W

    JamiiForums Tanzania Dunia inachezeshwa bolingo kule Homz na kule bahari ya shamu

    Karibu mkuu UN nae aliiuliza Iran swali hili hili Kuwa hamuoni Kuwa Dunia itaingia kwenye matatizo makubwa kiuchumi? Iran ikajibu Kuwa nao walifungiwa hivyo hivyo zaidi ya Miaka arobaini .
  2. W

    JamiiForums Tanzania Iran muda mwingine ukimfikiria kama kichekesho. USA ndio anakupiga wazi wazi we unaenda kuwatisha majirani zako

    Sikufikiria kukutana na mcharazo kama huu, ha haa
  3. W

    JamiiForums Tanzania Yawezekana mzozo wa Middle East ukawa mkubwa na kuanzisha WW3?

    Hii Israel?
  4. W

    JamiiForums Tanzania Wanaume leo nawapa ukweli mchungu: Hakuna mwanamke asiye na mchepuko

    Ndo kiumbe WA mwisho kuumbwa ,
  5. W

    JamiiForums Tanzania Iran: Kwa Ukubwa wa Nchi Yetu Tunaweza Kuhimili shambulio La Nyuklia na Kusimama Tena, Israel Ndogo Itasambaratika. Waamue Wasuke au Wanyoe

    kinachovutia Iran Ina plan B inasafirisha nishati Kwa treni China,US anamsaidia kulinda .
  6. W

    JamiiForums Tanzania Marekani imechapika hapo M.E mpaka Maafisa wa Marekani wanashuku kuwa China au Urusi huenda wanasaidia Iran

    Xi Jinping Wengi wanaangalia makombora tu kwenye huu mzozo, -kiuchumi US atakuwa na athari zipi ? -Kufungwa Kwa mlango bahari pia atapata madhara yapi kiuchumi US?
  7. W

    JamiiForums Tanzania Iran inawezaje kufanya haya

    ukipewa nistue
  8. W

    JamiiForums Tanzania Marekani Waleta Maafa Iran, Waanza Kuvunja Madaraja na Miundombinu Mingine. Iran Hali Ni Mbaya Sana

    Israel inasikitisha sana,Kiryat shimona ni mji wa kubebwa na Hizb?kila kukicha yeye na hizb na bado wanakomba mji?
  9. W

    JamiiForums Tanzania Jinsi Marekani ilivyogundua kuwa Imeingia cha kike kweny MoU na Iran na jinsi ilivyoanza kuivunja MoU yenyewe

    Iran ilishakata fimbo za kutosha,hii Iran vita yake anaegemea sana kwenye fuko lako la fedha kulitoboa na msumari.
  10. W

    JamiiForums Tanzania Taifa Israel PEKEE ndilo Kwa miaka maelfu lilimuabudu Mungu wa kweli Africa wazungu ni miungu yao kabla ya kumuamini Mungu Ibrahimu Isaka na Yakobo

    Zaburi 121:4 Naam, hatasinzia wala hatalala, Yeye aliye mlinzi wa Israeli.
  11. W

    JamiiForums Tanzania Kutoka maktaba: Tukumbushane ngebe za Trump kabla ya kukubali yaishe

    Mtumishi Nena na hili,,hutopata dhambi,,,,,Aliposwa akiwa na Miaka mingapi mama ake Yesu?
  12. W

    JamiiForums Tanzania Kutoka maktaba: Tukumbushane ngebe za Trump kabla ya kukubali yaishe

    Mama ake Yesu alikuwa na umri Gani alipoposwa na Joseph akiwa na Miaka 88?
Back
Top Bottom