Karibu mkuu UN nae aliiuliza Iran swali hili hili Kuwa hamuoni Kuwa Dunia itaingia kwenye matatizo makubwa kiuchumi?
Iran ikajibu Kuwa nao walifungiwa hivyo hivyo zaidi ya Miaka arobaini .
Xi Jinping Wengi wanaangalia makombora tu kwenye huu mzozo,
-kiuchumi US atakuwa na athari zipi ?
-Kufungwa Kwa mlango bahari pia atapata madhara yapi kiuchumi US?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.