Ila kuna course siyo za miaka mingi kwa mfano mambo ya intelligence and security ambayo miaka mitatu ila ngumu kidogo ukimaliza unaweza kuajiriwa hapa US CAI and FBI unaweza pelekwa sehemu zenye uhalifu kama terrorism na issue nyingine za kiusalama. Tembelea website utajifunza zaidi course ni...
Yeah ila nimichongo tu nawapatia sababu kama siyo wewe ndugu yako wewe mwenye unaeza pata pesa ukamsomesha mdogo wako katika college bora duniani kama hii na pia wako wenye fedha hawajui wapi pa kumsomesha mtoto sasa hii itawasaidia na wengine wanaopita hapa kujua, sababu college kama hii...
Yeah ila nimichongo tu nawapatia sababu kama siyo wewe ndugu yako wewe mwenye unaeza pata pesa ukamsomesha mdogo wako katika college bora duniani kama hii na pia wako wenye fedha hawajui wapi pa kumsomesha mtoto sasa hii itawasaidia na wengine wanaopita hapa kujua, sababu college kama hii...
Hata mimi nimesoma ila sihitaji ajira ya mtu serekali/ private sector ila ninachofurahia ndoto yangu kuwa tajiri imetimia na siyo kujionesha kuwa mm nitajiri
Mm niliwahi kuwa na mshikaji mmoja hivi tulijuana kupitia jamaa zangu ila kila mara jamaa alikuwa anakuja maeneo karibu na nyumbani alikuwa na ndugu maeneo yale na alikuwepo fundi carpenta hilo eneo alikuwa jamaa yangu alikuwa ananitengenezea vitu vyangu sasa siku moja nikaenda kwa yule fundi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.