Naomba kufahamishwa Vyuo bora kwa kozi za Engineering Tanzania

Yeah ila nimichongo tu nawapatia sababu kama siyo wewe ndugu yako wewe mwenye unaeza pata pesa ukamsomesha mdogo wako katika college bora duniani kama hii na pia wako wenye fedha hawajui wapi pa kumsomesha mtoto sasa hii itawasaidia na wengine wanaopita hapa kujua, sababu college kama hii ukimaliza siyo mtu yakutafuta kazi wakati wote wewe unahitajika sokoni.Dollar laki tatu hivi inatosha kukusomesha pamoja na mahitaji yako binafsi.
Anhaa, hongera ndugu. Sema wako wanaoweza ku afford wakaja
 
Fee zake kwa mwaka zipoje
Yeah ila nimichongo tu nawapatia sababu kama siyo wewe ndugu yako wewe mwenye unaeza pata pesa ukamsomesha mdogo wako katika college bora duniani kama hii na pia wako wenye fedha hawajui wapi pa kumsomesha mtoto sasa hii itawasaidia na wengine wanaopita hapa kujua, sababu college kama hii ukimaliza siyo mtu yakutafuta kazi wakati wote wewe unahitajika sokoni.Dollar laki tatu hivi inatosha kukusomesha pamoja na mahitaji yako binafsi.
 
Yeah ila nimichongo tu nawapatia sababu kama siyo wewe ndugu yako wewe mwenye unaeza pata pesa ukamsomesha mdogo wako katika college bora duniani kama hii na pia wako wenye fedha hawajui wapi pa kumsomesha mtoto sasa hii itawasaidia na wengine wanaopita hapa kujua, sababu college kama hii ukimaliza siyo mtu yakutafuta kazi wakati wote wewe unahitajika sokoni.Dollar laki tatu hivi inatosha kukusomesha pamoja na mahitaji yako binafsi.
Apo si chini ya mil 600 si ndiyo?
 
Ila kuna course siyo za miaka mingi kwa mfano mambo ya intelligence and security ambayo miaka mitatu ila ngumu kidogo ukimaliza unaweza kuajiriwa hapa US CAI and FBI unaweza pelekwa sehemu zenye uhalifu kama terrorism na issue nyingine za kiusalama. Tembelea website utajifunza zaidi course ni nyingi zaidi ya 100 ni wewe na upendacho
Apo si chini ya mil 600 si ndiyo?
 
Inategemea na course gani..Kama mechanical naona MUST na UDSM hawana mpinzani kwakua ATC bado hajaruhusiwa kutoa degree yake. Ila electrical nako must na DIT. Automobile na aircraft nenda NIT Ila siwezi kurecomend hizi course.. biomedical engineering ni MUST coz ukienda MUHAS bado utapelekwa MUST kusoma zaidi.. architecture naona ARDHI afu ndo MUST(course ngumu mno na moja ya course inayokufanya uwe vizuri tangu chuoni),,civil UDSM/ARDHI afu DIT/MUST..

Muandiko Sasa
Aisee kibongo bongo vyuo vyote vinafanana,miundo mbinu bado mibovu hasa katika "practical". Zamani tulikuwa tukiaminishwa ya kuwa DIT kwa Practical wako vizuri,ila ukweli ni kinyume chake.

Wewe kama unapenda kuwa Mhandisi basi fanya juhudi ya kujifunza nje ya darasani na tena ukiwa unaenda field ndiyo usizembee kabisa. Uhandisi huwezi kuupata chuoni,bali kazini,na ukizembea kazini utakuwa Muhandisi jina tu. Mfumo wetu wa elimu bado sana.

Tulio wengi ujuzi tumeupata field na kwenye kazi hasa miradi na kusoma nje ya darasani.
 
Aisee kibongo bongo vyuo vyote vinafanana,miundo mbinu bado mibovu hasa katika "practical". Zamani tulikuwa tukiaminishwa ya kuwa DIT kwa Practical wako vizuri,ila ukweli ni kinyume chake.

Wewe kama unapenda kuwa Mhandisi basi fanya juhudi ya kujifunza nje ya darasani na tena ukiwa unaenda field ndiyo usizembee kabisa. Uhandisi huwezi kuupata chuoni,bali kazini,na ukizembea kazini utakuwa Muhandisi jina tu. Mfumo wetu wa elimu bado sana.

Tulio wengi ujuzi tumeupata field na kwenye kazi hasa miradi na kusoma nje ya darasani.
Ni kweli kabisa Ila kunabaadhi ya vyuo atleast vinamsaidia kijana akienda ata field anakua c mgeni Sana..ukiangalia vijana wa field amini vijana wa mechanical wa ATC wanautofauti na wengine..Kuna chuo kikubwa vijana wake wanne hawaijui brake pad na turbo charger wapo mwaka wa tatu adi nilishangaa asee Ila theory wapo vizuri tuu..
 
Aisee kibongo bongo vyuo vyote vinafanana,miundo mbinu bado mibovu hasa katika "practical". Zamani tulikuwa tukiaminishwa ya kuwa DIT kwa Practical wako vizuri,ila ukweli ni kinyume chake.

Wewe kama unapenda kuwa Mhandisi basi fanya juhudi ya kujifunza nje ya darasani na tena ukiwa unaenda field ndiyo usizembee kabisa. Uhandisi huwezi kuupata chuoni,bali kazini,na ukizembea kazini utakuwa Muhandisi jina tu. Mfumo wetu wa elimu bado sana.

Tulio wengi ujuzi tumeupata field na kwenye kazi hasa miradi na kusoma nje ya darasani.
Hapo nimekupata
 
Ni kweli kabisa Ila kunabaadhi ya vyuo atleast vinamsaidia kijana akienda ata field anakua c mgeni Sana..ukiangalia vijana wa field amini vijana wa mechanical wa ATC wanautofauti na wengine..Kuna chuo kikubwa vijana wake wanne hawaijui brake pad na turbo charger wapo mwaka wa tatu adi nilishangaa asee Ila theory wapo vizuri tuu..
Heeee
 
Habari za saizi wana jukwaa popote pale ulipo ndani ya mipaka ya Tanzania na hata nje.

Kulingana na matokeo ya kidato cha sita, wengi wa wadogo zetu wanatamani kujua vyuo bora vinavotoa kozi za engineering ili waendeleze carier zao.

Ukiaachana na majina ya vyuo, natamani kujua vyuo vinavotoa kweli wahandisi hapa nchini.

Karibuni...
Kama utataka ujue mambo kwa vitendo ni vizuri uje Atc
Ila kama unataka kujua mambo darasani nenda DIT
 
Inategemea na course gani..Kama mechanical naona MUST na UDSM hawana mpinzani kwakua ATC bado hajaruhusiwa kutoa degree yake. Ila electrical nako must na DIT. Automobile na aircraft nenda NIT Ila siwezi kurecomend hizi course.. biomedical engineering ni MUST coz ukienda MUHAS bado utapelekwa MUST kusoma zaidi.. architecture naona ARDHI afu ndo MUST(course ngumu mno na moja ya course inayokufanya uwe vizuri tangu chuoni),,civil UDSM/ARDHI afu DIT/MUST..

Muandiko Sasa
Sipingi chochote hapa. Ongeza Electrical MUST inazidi vyote, Computer Engineering UDOM wanajua sana, Telecommunication DIT na UDSM, hiyo Architecture Ardhi inaizidi mbali sana UDSM, Aircraft Engineering NIT ndio wanatoa na nchini kuna upungufu wa 60% wa mainjia hao wazawa hadi sasa, Automobile ni ngumu huwezi amini ila hakuna chuo hapa nchini kinaifundisha effectively
 
Kwa upande wangu huyo bandugu kama anapenda maswala ya aviation asomeee aircraft engineering japo sijajua ada yake hapo NIT .au asomeee flight dispatcher kwa miezi 6 , yaani miezi 3 theorical studies na nyingine 3 practical training kwenye mashirika ya ndege ya hapa tz au ya nje .uzuri wa hii course ni kwamba hata ukija kujichanga baadaye ukaamua ukasomea urubani ,gharama zake zitapungua kwa asilimia fulani ambapo inakuwa nafuu .kwa uhakika nilionao sijawahi kuona mtu aliye mtaani kasoma hizi mambo zinazohusiana na ndege never.
Huu ni ushauri wangu tu sio lazima ufanyiwe kazi.
 
Kwa upande wangu huyo bandugu kama anapenda maswala ya aviation asomeee aircraft engineering japo sijajua ada yake hapo NIT .au asomeee flight dispatcher kwa miezi 6 , yaani miezi 3 theorical studies na nyingine 3 practical training kwenye mashirika ya ndege ya hapa tz au ya nje .uzuri wa hii course ni kwamba hata ukija kujichanga baadaye ukaamua ukasomea urubani ,gharama zake zitapungua kwa asilimia fulani ambapo inakuwa nafuu .kwa uhakika nilionao sijawahi kuona mtu aliye mtaani kasoma hizi mambo zinazohusiana na ndege never.
Huu ni ushauri wangu tu sio lazima ufanyiwe kazi.
Wazo zuri
 
Sipingi chochote hapa. Ongeza Electrical MUST inazidi vyote, Computer Engineering UDOM wanajua sana, Telecommunication DIT na UDSM, hiyo Architecture Ardhi inaizidi mbali sana UDSM, Aircraft Engineering NIT ndio wanatoa na nchini kuna upungufu wa 60% wa mainjia hao wazawa hadi sasa, Automobile ni ngumu huwezi amini ila hakuna chuo hapa nchini kinaifundisha effectively
Mbona nlishaandika electrical ni must au kisa nimeandika kwa herufi ndogo?? Automobile ni NIT sema hii course inachangamoto zake bora mtu apige mechanical tuu.. architecture nmeshaandika ARDHI na MUST.. yah computer ni udom Ila apa inabidi ujiongeze mnoo mnoo..
Aircraft wameshusha NIT now ni 6mil sema hii course Kama ww huna connection bora uiache wengi wanaosoma wanaconnection na bado hatujafika level hiyo Kuna competition kubwa Sana kwa waliosoma nje hiyo course wanaaminiwa Sana kwenye mashirika makubwa inawapa shida waliosoma ndani..
 
Back
Top Bottom