Hivi wewe Erythrocyte huwa unafanya Kazi Sana ngapi ndugu?Massa yote upo Jf unaanzisha tu mathread!!Au unalipwa na JF kupost?Lakini mbona thread zenyewe ni poor Sana,wala sio za fikra pevu,wanaweza kulipia ujinga kweli??
Wewe ni kielelezo cha vijana wavivu na wapumbavu wanaofikiri maisha ni...
Mara nyingi mi ni msomaji tu humu but naona mara nyingi ww unajifanya kujua sana kiasi wengine wote wakubali tu chochote usemacho...Unawapa wenzio majina mara tpo reds,supertfans etc...huu kwangu mi naona ni ubwege wa kiwango kikubwa sana.Kwamba mtu kuwa na mawazo tofauti na wewr hayupo sahihi...
Nina tecno CX air.Whatsap inashindwa ku update.Nimejarib na apps zingine pia inashindwa ku update.Nimejaribu kuzima na kuwasga,kutumia wi-fi nimeshindwa.Wandugu naomba msaada wa hilo tafadhali.Nifanye nini nitatue hilo?Nimetaka kureset default lakini nna hisi nitapoteza kumbukumbu zote hadi...
Narudia tena wadau
Nipo Iringa nataka kwenda masasi.Ipi ni route bora kuitumia kati ya kupitia Songea to Masasi au kupitia Dar to Masasi.Naomba anayejua hizo njia anipatie na mimi nipate uelewa kidogo.Umbali,nauli na ubora wa barabara kwa kuanzia safari Iringa.
Nataka kusafiri kutokea Iringa kwenda Masasi.Njia ipi nitumie kati ya Iringa _Dar_Masasi au Iringa_Songea_Masasi?Kwa kuzingatia nauli,umbali na ubora wa barabara
Yaani wewe ulioleta uchambuzi wa kifacebook humu kwrnye jukwaa la watu wanaojua mpira umeniharibia siku kabisa.
Yani serius kabisa kutoka facebook?Usitushushe bana.
Peleka facebook uchambuzi wa humu...sio kuuleta humu uchambuzi wa facebook.
Humu kuna vichwa tosha kabisa kutoka kwa wanaoijua...
Mkuu kama nimekuelewa vizuri kuwa mawaziri have been reduced to just political figures kwa sababu kazi zote za uandaaji wa sera na utekelezaji wa ajenda za kitaalam wizarani zinafanywa na makatibu wakuu na jopo lao la wataalam.
From that scope of view therefore we can survive as a nation...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.