Naamini umetujibu kwa nia njema kabisa asante kwa ushauri wako. labda haukuona vema eneo ambalo hili tawi linafunguliwa si katika eneo la chuo kwani ni mjini kabisa. pia wanofungua ni wafanyakazi na wanafunzi hivyo usihofu wanafunzi hatapewa majukumu mazito yatakayo sababisha kushuka ufanisi...
Tusilumbane wapenda maendeleo wote kura kwa dr. Slaa. Hakikisha meseji za kumwaga kwenda kwa watu wote unaowafahamu, kumbuka wengi wanakuamini na kukuheshimu tumia nafasi hiyo kuendelea kuomba kura kwa ajili ya slaa
Ninampa pole marin kwa kilichompa. Ninampa ushauri wa bure kabisa aache kutafuta ukuu wa wilaya kwa mbinu chafu azingatie maadili la sivyo siku moja atang'oka meno kwa ushamba. Nguvu ya uma inatisha.
Ninampa pole marin kwa kilichompa. Ninampa ushauri wa bure kabisa aache kutafuta ukuu wa wilaya kwa mbinu chafu azingatie maadili la sivyo siku moja atang'oka meno kwa ushamba. Nguvu ya uma inatisha.
TBC SITAITAJA KWANI WAO NILIWATARAJIA. Magazeti ya R. Mengi yanachefua sana kwani wanashindwa kusimamia maadili ya uandishi wanajikomba sana hawa ndugu hivi hawafahamu kwamba uchaguzi unapita? Watanzania ninaomba tutambuo vyombo na waandishi wa ukweli na wa uongo. Sitamfasahau kibonde huyu ni...
Kiama cha Kikwete kimefika, Nani amesema Chadema hakitapata wabunge wengi? ni mwendawazimu tu ndiye anaweza kuamini hivyo. Kuna watu wengi wako na wengine walikuwa ccm si kwa sababu wanaamini kilichopo huko, bali ni kutokana na woga wa kufuatiliwa, sasa wamegundua Chadema kina nguvu kubwa na...
Hongera Mwakyembe ninatamani hata viongozi wangu wa Chadema wasiweke mgombea huko, ila ninaomba tu tuunge mkono kumng'oa JK kwa kura halali si unajua jamaa alikuwa amekuacha ushughulikiwe na mafisadi. Asanteni wanakyela chukueni zile rushwa za CCM ila kura zote tumpe Dr. Slaa ahsanteni.
Kwa kweli kelele za wana CCM kufisadiwa katika kura za maoni na wana CCM wenzao kuchukuliwe kwa tahadhari kwani wengi wanaolalamika wanajua chama kimezoea kufanya nini ili kupata unaoitwa "ushindi wa kishindo" wakitoka huko mbinu hizohizo zinaweza kutumika endapo zitaruhusiwa. Rai kambi ya...
Kwa kweli Dr. Slaa ni mtu makini na sio siri wasomi wenzagu wa chuo kikuu niliokutana nao wanaonyesha kumuunga mkono sana. Wapo na wengine wengi waliokuwa wamekata tamaa ya kupiga kura wamesema ari ya kura imerudi kwa kishindo na kura zote kwa Dr. Slaa. kwa kweli hao wapambe wa mafisadi matumbo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.