Mkuu yale yale ya kujifanya wanijua! Sawa natokea Mwanza, unajua kama Mzanzibar wangu ana asili na Kyela? Ugali ni chakula cha wanaume tena wa ulezi changanya na Muhogo mboga ikiwa rasta sijui kama wazijua! Nsansa na vitwilo
Masa,
SI unawajua zao hao, wanamjua kila member wa JF (kwenye ndoto zao) na anakotokea.
Ha ha ha ha