kwa mvomero wanalima mpunga hasa maeneo ya A: TURIANI ,ni pazuri ,though kuna barabara ya vumbi,network ipo Na huduma cha afya zipo ,gharama za maisha ni za kawaida tu B.:MZUMBE ,nipazuri pia ,network fully,ni karibu na mjini ,gharama za maisha zipo juu kwa sababu ya chuo,kupanga chumba...