Leo mama wema nimekushusha huku mtaani kwetu tunasema nimekushusha vyeo yaani heshima nimesikiliza mahojiano yako na Soudy Brown wa Clouds fm muda huu nimeshangaa unavyopayuka kuhusu ugomvi wa mwanao na Man Fongo hata haingii akilini kwa kuchukua maneno ya kuambiwa ndo kuwa source yako kubwa...
Niliangalia mahojiano aliyokuwa anafanyiwa msanii wa muziki wa kizazi kipya Rehema Chalamila maarufu kama Ray C alikuwa anamlalamikia mmiliki wa kampuni ya Global Publisher Bw Erick James Shigongo kwamba magazeti yake yanamfanya aishi maisha ya tabu kwa kuwa anajitahidi kuacha madawa lakini...
Mana toka waziri mkuu atoe kauli kwamba tarehe 15 januari iwe ishaanza kufanya kazi lakini hadi leo haijaanza na hakuna kauli yoyote kutoka serikalini,magari tu yanabadilika rangi pale jangwani na kariakoo,tukisema serikali yetu ina mipango ya kitoto tunakosea.
Mana toka waziri mkuu atoe kauli kwamba tarehe 15 januari iwe ishaanza kufanya kazi lakini hadi leo haijaanza na hakuna kauli yoyote kutoka serikalini,magari tu yanabadilika rangi pale jangwani na kariakoo,tukisema serikali yetu ina mipango ya kitoto tunakosea.
Watu wanaosadikiwa majambazi wauwa Mbagala walipokuwa walipomaliza kupora katika benki ya Access tawi la Mbagala na kuna taarifa kwamba walipotupa mabomu
mi nimeona maiti 3 kwa taarifa zaidi tutajulishana.
Yaani ni hivi jeshi la usalama barabarani nilisikia limetangaza kuwa ni marufuku kupandisha abiria wengi na mpaka kusimamisha hiyo ni nzuri kwa gari nyingine ila si kwa daladala zinazofanya kazi zake dar es salaam mana gari zilizokuwepo tu hazitoshi hasa haya maeneo ya mbagala,gongo la...
Ni hivi nashangaa kufichwa kwa majina ya wamiliki wa makontena yaliyotoroshwa bandarini bila kulipa kodi tulisikia majina ya kina bakhresa na bin slum lakini wengine hatuwajui au sheria inawalinda kutotajwa mana tunahisi tumechezewa changa la macho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.