Club inakuwa na chief scout bila sporting director!!? We uliona wapi?. Wanasajiliwa wachezaji free agents like babacar sarr, sawadogo, pa omar jobe na wengi tu ambao jamaa hakuwasilisha majina yao lakini lawama zinamwangukia yeye, tusisahau kuletewa Manzoki kwenye General Meeting. Ukweli usemwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.