Recent content by waleed012

  1. W

    Yanga ya pira "pira gusa moja moja tuondoke" ya kocha Romuard Rakotondrabe inakuja Simba wajipange

    kwahiyo unahisi huyo kocha mpya hamuhitaji Moalin?
  2. W

    Yanga ya pira "pira gusa moja moja tuondoke" ya kocha Romuard Rakotondrabe inakuja Simba wajipange

    Useng.e mtupu umeandika we si ulikuwa unadai abdulhamid moalin arudishwe, kwahiyo huyo kocha wako akija Moalin ndo basi?
  3. W

    TFF kufungia mchezaji wa Yanga Princess, Jeanine Mukandayisenga kisa utata wa jinsia ni hujuma kwa timu yetu

    Ulianza vizuri tu kuhusu huyo mchezaji wa kike ila umemalizia kwa useng.e na uchoko wa hali ya juu
  4. W

    Saed Ramovic siyo kocha mzuri kwenye kujilinda, Yanga msifanye kosa kumchukua tena

    Rais wetu Bwa. Hersi Lucas Mwashambwa amesema kocha ni huyuhuyu foloza
  5. W

    Tetesi: Tetesi za usajili wa dirisha kubwa ligi kuu Tanzania bara 2025/2026

    Bwa. Hersi ameshindwa kujishikilia hata kiduchu tu. angalau hadi tumalize kutiki ndo wamfukuze. Bwa. Hersi hana utu kwa kweli
  6. W

    Eng Hersi usimfukuze Folz wala kumleta Nabi wala hamdi ila fanya yafuatayo

    Tayari huko Eminem na wenzake wale twaruka pruuu...........
  7. W

    What a weekend: Chelsea anampiga Liverpool. Hafu Gunners tunamyonga West Ham na kukaa pale juu!

    Soon tutaanza ujenzi wa sanamu la aliyewapa jina la false hopers
  8. W

    Eng Hersi usimfukuze Folz wala kumleta Nabi wala hamdi ila fanya yafuatayo

    Raisi wa yanga ndugu Lucas Mwashambwa ameskia maoni yenu na atayafanyia kazi
  9. W

    Skauti wa Simba Mels Dalder ajiuzulu kwasababu haioni nafasi yake ndani ya Klabu

    Club inakuwa na chief scout bila sporting director!!? We uliona wapi?. Wanasajiliwa wachezaji free agents like babacar sarr, sawadogo, pa omar jobe na wengi tu ambao jamaa hakuwasilisha majina yao lakini lawama zinamwangukia yeye, tusisahau kuletewa Manzoki kwenye General Meeting. Ukweli usemwe...
  10. W

    Waamuzi mechi za JKT vs Azam na Mbeya City vs Yanga wafungiwa. Bacca wa Yanga afungiwa michezo mitano

    hapo awali alipocheza mechi nyingi aliisaidia nini timu ya taifa?
  11. W

    Shabalala mshumaa unaozimika gafla

    ukiwa raisi unatuahidi nini katika hili?
  12. W

    Uongozi wa Yanga kama unafikiria kurudisha ma EX, basi chukua Miloud badala ya Nabi

    alipata mafanikio gani huko morocco!? AS FAR iligeuzwa kuwa Arsenyau ya arteta mpira mwingi ila second runner. hakupata hata kikombe cha uji
Back
Top Bottom