Hatimae tarehe rasmi ya kufanyika Uchaguzi wa kumpata Meya wa jiji wa Dar es salaam ni jumanne tarehe 22/03/2016. Ukumbi wa karimjee uliopo Posta.
Mgawanyo wa wajumbe halali watakaopiga kura kw mujibu wa sheria ni kama ifuatavyo kw kila halmashauri;-
Kinondoni 58
Ilala. 56...
Ili serikali iyape utaratibu wa kupeleka takataka dampo la pugu usiku wa saa7 badala ya saa2 usiku na kusababisha kero ya harufu mbaya kwenye foleni na kupelekea watu kupata vichefu chefu na kutapika NASHAURI WANANCHI TUCHUKUE MAAMUZI MAGUMU YA KUCHOMA MOTO GARI ZA TAKATAKA ili wajirekebishe kwa...
Nafasi ya Urais sio nafasi ya kupata "kama zari".
Hata uwe kiongozi mzuri kiasi gani huwezi kushtukizwa na kupewa mikoba ya nchi kirahisi rahisi tu.
Lazima uwe umejipanga, umejiandaa na uko tayari.
Hotuba za Magufuli zinadhihirisha kuwa aliingia kwenye kinyang'anyiro kwa kujaribu...
Nafasi ya Urais sio nafasi ya kupata "kama zari".
Hata uwe kiongozi mzuri kiasi gani huwezi kushtukizwa na kupewa mikoba ya nchi kirahisi rahisi tu.
Lazima uwe umejipanga, umejiandaa na uko tayari.
Hotuba za Magufuli zinadhihirisha kuwa aliingia kwenye kinyang'anyiro kwa kujaribu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.