Rais Magufuli amfariji Mama Nyerere kwa msiba wa Kifo cha mkwe wake, Marehemu Leticia Nyerere

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,717
55,819
jpmama5.JPG

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiagana na Mama Maria Nyerere, Mjane wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, na wanafamilia alipokwenda nyumbani kwake Msasani kumfariji kufuatia kifo cha mkwe wake Marehemu Leticia Nyerere huko Maryland, Marekani.
jpmama4.JPG

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiagana na Mama Maria Nyerere, Mjane wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, na wanafamilia alipokwenda nyumbani kwake Msasani kumfariji kufuatia kifo cha mkwe wake Marehemu Leticia Nyerere huko Maryland, Marekani.
jpmama3.JPG

jpmama2.JPG

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akimfariji na Mama Maria Nyerere, Mjane wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, na wanafamilia alipokwenda nyumbani kwake Msasani kumfariji kufuatia kifo cha mkwe wake Marehemu Leticia Nyerere huko Maryland, Marekani.
jpmama1.JPG

Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akimfariji na Mama Maria Nyerere, Mjane wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, na wanafamilia alipokwenda nyumbani kwake Msasani kumfariji kufuatia kifo cha mkwe wake Marehemu Leticia Nyerere huko Maryland, Marekani.
 
Mbowe alikuwa akicheza na watoto wa baba wa taifa... Hata Ikulu kipindi cha mwalimu alikuwa akienda na baba yake...

Mwalimu Nyerere alikuwa akifanya ziara mkoani Kilimanjaro alikuwa analala nyumbani kwa Aikael Mbowe pale Machame..

Hivyo nadhani umeelewa nachomaanisha..
Lakini Kumbuka aliyekufa ni mtalaka wa mmojawapo wa watoto wa mchonga, connection haiko Karibu kivile
 
Back
Top Bottom