Recent content by WAKUONDOKA

  1. WAKUONDOKA

    Msaada: Naombeni mnisaidie past papers za form 1-4 Annual za shule yoyote

    Wadau wanandinga wenzangu naombeni msaada wa "past papers" za masomo yote, za shule mbalimbali iwe za kata mpaka International zikipatikana. Nina shida ndg yenu ya kuwasaidia wadogo na watoto wetu kwa njia ya Teknohama. Natanguliza shukrani kwa yoyote anisaidie. Asanteni!!
  2. WAKUONDOKA

    Alternative story ya kukatwa kwa Edo July 2015

    Kuna viashiria vya kila aina kwamba Kanisa lina nguvu sana katika siasa za Ulimwengu huu hasa Afrika ambapo nyuma yake kuna ushawishi wa hisani ya msaada na mikopo. Ila cha kutazama hapo ni namna gani ya kutoka hapo tulipokwama.
  3. WAKUONDOKA

    RICH DAD POOR DAD: Nimemaliza kusoma kitabu hiki, nisome kipi kingine?

    Soma Biblia tosha kabisa wote hao wanacopy ktk bible.
  4. WAKUONDOKA

    Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

    Bado nafasi ya kanisa katoliki sijaipata vizuri hapo
  5. WAKUONDOKA

    Natafuta watu wa Kutengeneza Timu ya Film Firm

    Mkuu kama bado upo active na inshu izi zote kwa ujumla movie, script writing,documentary 0678542435
  6. WAKUONDOKA

    Nisaidieni kazi wapendwa na Mungu atawabariki

    Kuna kibarua sehemu sema inategemea unaishi wapi kwa cost za usafiri zisikugarimu sana
  7. WAKUONDOKA

    Natafuta mtu wa kufanya nae kazi

    Braza kwa kwetu hapa nenda hakuna media iliyo serious kwa Mou nimezunguka kote wanaunga mkono tu kuwa idea nzuri ila katengeneze vipindi tuangalie kwanza kama kuna trend. Unakuta hatua uliyofika umejibana ili wao nao waweke nguvu ila wazinguaji sana.
  8. WAKUONDOKA

    Natafuta mtu wa kufanya nae kazi

    Mimi nina mawazo na yameshakuwa katika format,nina kipindi cha TV na nimeshapata airtime TV E.Natafuta mtu aweke pesa kwenye production. Tutagawana share na kuandikisha mkataba. 0678542435
  9. WAKUONDOKA

    Nauza cm

    Top 120
  10. WAKUONDOKA

    Nauza cm

    Nilinunua 195/=,Nauza kwasababu nina shida na pesa now
  11. WAKUONDOKA

    Nauza cm

    Tecno n8 ipo kwenye hali nzuri ,haina crack. Bei yake ni Tsh 150,000/= 0678542435
  12. WAKUONDOKA

    Natafuta mchumba mwanamke

    Mimi ni kijana miaka 30.Natafuta mchumba rangi, umbo, elimu sio kigezo ili awe anajielewa,anajitambua asiwe tegemezi awe mchapakazi. Kama unaona uko tayari ni pm tuwasiliane. Kwa wale wa masihara plz naombeni mkae kando kwani naamini kuna walioko siriazi.
  13. WAKUONDOKA

    Nauza idea

    Siwezi kuweka kila kitu apo alie tayari anitafute kama haupo tayari basi
  14. WAKUONDOKA

    Nauza idea

    Alie tayari anitafute 0652669892
Back
Top Bottom