Man Jau
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 447
- 654
Habari.
mimi ni kijana wa miaka 27. nimejifunza filamu kwa zaidi ya miaka 3, na nimekuwa na maendeleo makubwa sana. ila nimekosa timu ya watu wenye uelewa huu.
nimekuwa nikitafuta pia vijana wa kujiunga nao bila mafanikio, na kuishia kupata watu wasio na nia ya dhati na Film Production. wengi wanaishia kuuza sura, na ukiwaambia kuhusu kufanya mazoezi wanakukimbia..alafu kwenye kazi, wanakimbilia na kukufanyia makorokocho mbele yako, ambayo hayawezi kukuletea mafanikio yoyote yale..wala portfolio yoyote njema.
ninatafuta vijana wenzangu wa kuweza kuitengeneza Timu ya watu kadhaa wenye uelewa mkubwa na fani hii, ili tuanzishe Firm yetu ya kutengeneza Filamu/Makala zetu sisi wenyewe.
siamini sana katika kuajiriwa na makampuni makubwa, ila naamini sana katika kujiajiri sisi wenyewe, hasa vijana ambao tuna akili na uelewa wa kutosha. si lazima uwe umesomea jambo hilo, bali una nia gani ya dhati na utayari wa kuwa commited na Filamu.
Kuhusu filamu, sifikirii kutengeneza kama zile za akina MSISIRI, bali zile zenye ubora wa ushindani wa Profession kama vile Aisha, na nyinginezo.
namaanisha tunahitaji Production Crew (Producer, Script Writer, Director, Executive Producers, Cinematographers, Make Up artists, Editor, n.k.). watu wa Marketing, Technicians (I.T) na Legal (Lawyer) wapo.
sifa ni kuwa inabidi uwe Loyal na hii kazi..mikataba ipo, mafanikio yakitoka, tunagawana kila mtu na chake, kulingana na mkataba.
Kampuni haiwezi kuanza kama hakuna Timu ya watu wanaojielewa.
Team kwanza, kampuni baadae.
Mwenye nia, nitumie ujumbe inbox (Private Message).
NB: Hii ni moja ya makala niliyowahi kutengeneza, hivi karibuni
mimi ni kijana wa miaka 27. nimejifunza filamu kwa zaidi ya miaka 3, na nimekuwa na maendeleo makubwa sana. ila nimekosa timu ya watu wenye uelewa huu.
nimekuwa nikitafuta pia vijana wa kujiunga nao bila mafanikio, na kuishia kupata watu wasio na nia ya dhati na Film Production. wengi wanaishia kuuza sura, na ukiwaambia kuhusu kufanya mazoezi wanakukimbia..alafu kwenye kazi, wanakimbilia na kukufanyia makorokocho mbele yako, ambayo hayawezi kukuletea mafanikio yoyote yale..wala portfolio yoyote njema.
ninatafuta vijana wenzangu wa kuweza kuitengeneza Timu ya watu kadhaa wenye uelewa mkubwa na fani hii, ili tuanzishe Firm yetu ya kutengeneza Filamu/Makala zetu sisi wenyewe.
siamini sana katika kuajiriwa na makampuni makubwa, ila naamini sana katika kujiajiri sisi wenyewe, hasa vijana ambao tuna akili na uelewa wa kutosha. si lazima uwe umesomea jambo hilo, bali una nia gani ya dhati na utayari wa kuwa commited na Filamu.
Kuhusu filamu, sifikirii kutengeneza kama zile za akina MSISIRI, bali zile zenye ubora wa ushindani wa Profession kama vile Aisha, na nyinginezo.
namaanisha tunahitaji Production Crew (Producer, Script Writer, Director, Executive Producers, Cinematographers, Make Up artists, Editor, n.k.). watu wa Marketing, Technicians (I.T) na Legal (Lawyer) wapo.
sifa ni kuwa inabidi uwe Loyal na hii kazi..mikataba ipo, mafanikio yakitoka, tunagawana kila mtu na chake, kulingana na mkataba.
Kampuni haiwezi kuanza kama hakuna Timu ya watu wanaojielewa.
Team kwanza, kampuni baadae.
Mwenye nia, nitumie ujumbe inbox (Private Message).
NB: Hii ni moja ya makala niliyowahi kutengeneza, hivi karibuni