Alternative story ya kukatwa kwa Edo July 2015

z12f

JF-Expert Member
Dec 4, 2017
635
458
30/12/2005 – JK alimteua Edo (Mlutheri) kuwa Waziri Mkuu. This was nothing new as Fredrick (Mlutheri) alishakuwa PM for 10 years. JK alitaka Edo (Mprotestanti) awe mrithi wake wa urais. JK alidhamiria hivyo huku akijua kwamba system ya TZ huwa haipendi kua na rais Mprotestanti.

26/6/2006 - JK aliteua Secretariat mpya ya CCM ikiwa na Waislamu watupu na Waprotestanti wawili au mmoja (kuna uwezekano hakuwepo Mkatoliki kabisa).

Ingawa JK alikua amesoma seminari ya Kikatoliliki inaelekea kisirisiri alikua ameamua kuwa independent na kanisa hilo. System ya Kikatoliki ikaanza kumtikisa JK kwa kuvujisha siri (za ufisadi) Chadema.

16/1/2007 – Jakaya alimtembelea Tony UK. Baadhi ya Waingereza huwa wanaogopa TZ kuwa na rais Mlutheri, as wanadhani rais Mlutheri atakua karibu na Wajerumani kuliko Waingereza. Rais huyo anaweza kuwapa Wajerumani sehemu ya Gesi na dhahabu ya TZ. Kumbuka kwamba anglo-saxons wa UK, USA, Canada na Australia ndio wanao enjoy sehemu kubwa ya rasilimali za TZ.

19/10/2007 - Jakaya alimtembelea Benedict Vatican.

Baada ya hii ziara JK akasalimu amri kwa kanisa Katoliki. Akaamua kwamba akirudi atamtosa Edo na baada yake atakabidhi kiti kwa rais Mkatoliki. Candidate wake alikua Bernard. Ila majesuit wa TZ hawakumtaka Bernard kwasababu ya udhaifu aliouonyesha kwenye issue ya OIC.

13/11/2007 – Kamati teule ya Bunge ya Richmond ikaundwa.

7/2/2008 – Edo akajiuzulu. Mizengo (mkatoliki) akateuliwa. Mizengo alikua kabila mmoja na Polycarp.

July 2015 jina la Edo likakatwa CCM. This was just a formality maamuzi yalishachukuliwa zamani na wakuu wa dunia.

Majesuit wa Julius na Laurian (kupitia mwana wao mpotevu Ben) wakawazidi hoja majesuit wa Polycarp na Mizengo. John akachaguliwa kupeperusha bendera ya CCM. Majesuit wa Polycarp na Laurian wakaona waungane na kuliweka kanisa mbele so kwa pamoja wakamsupport John. Wilbrod nae akaona asipingane na marafiki zake majesuits, so akaikimbia chadema.

Edo akaenda chadema pamoja na Frederick. Wajerumani wakaona waendelee kumsapoti rafiki yao Edo huko chadema. Waingereza hawa kumwamini Edo, so mafreemason wakawa neutral. Baadhi ya maaskofu wachache wakikatoliki waliendelea ku msupport Edo kwenye uchaguzi mkuu. Maaskofu wengi wa kiprotestanti walimsupport Edo. Mashehe walikua wamegawanyika katikati.

So shughuli ile ya uchaguzi wa 2015 ilikua ngumu.
 
Hawa jamaa wanatenda watakalo kwa sirisiri mno, jamii inawezakugawanywa unknowingly behind the scene.

Bahati mbaya habari kama hizi hata uwafate wahusika watasema Hawajui na tutapata ushahidi. Hivyo jamii hupata nadharia kama hizi., difficut to prove!
 
30/12/2005 – JK alimteua Edo (mlutheri) kuwa waziri mkuu. This was nothing new as Fredrick (mlutheri) alishakuwa PM for 10 years. JK alitaka Edo (mprotestanti) awe mrithi wake wa urais. JK alidhamiria hivyo huku akijua kwamba system ya TZ huwa haipendi kua na rais mprotestanti.

26/6/2006 - JK aliteua secretariat mpya ya CCM ikiwa na waislamu watupu na waprotestanti wawili au mmoja (kuna uwezekano hakuwepo mkatoliki kabisa).

Ingawa JK alikua amesoma seminari ya kikatoliliki inaelekea kisirisiri alikua ameamua kuwa independent na kanisa hilo. System ya kikatoliki ikaanza kumtikisa JK kwa kuvujisha siri (za ufisadi) Chadema.

16/1/2007 – Jakaya alimtembelea Tony UK. Baadhi ya Waingereza huwa wanaogopa TZ kuwa na rais mlutheri, as wanadhani rais mlutheri atakua karibu na wajerumani kuliko waingereza. Rais huyo anaweza kuwapa Wajerumani sehemu ya Gesi na dhahabu ya TZ. Kumbuka kwamba anglo-saxons wa UK, USA, Canada na Australia ndio wanao enjoy sehemu kubwa ya rasilimali za TZ.

19/10/2007 - Jakaya alimtembelea Benedict Vatican.

Baada ya hii ziara JK akasalimu amri kwa kanisa katoliki. Akaamua kwamba akirudi atamtosa Edo na baada yake atakabidhi kiti kwa rais mkatoliki. Candidate wake alikua Bernard. Ila majesuit wa TZ hawakumtaka Bernard kwasababu ya udhaifu aliouonyesha kwenye issue ya OIC.

13/11/2007 – Kamati teule ya Bunge ya Richmond ikaundwa.

7/2/2008 – Edo akajiuzulu. Mizengo (mkatoliki) akateuliwa. Mizengo alikua kabila mmoja na Polycarp.

July 2015 jina la Edo likakatwa CCM. This was just a formality maamuzi yalishachukuliwa zamani na wakuu wa dunia.

Majesuit wa Julius na Laurian (kupitia mwana wao mpotevu Ben) wakawazidi hoja majesuit wa Polycarp na Mizengo. John akachaguliwa kupeperusha bendera ya CCM. Majesuit wa Polycarp na Laurian wakaona waungane na kuliweka kanisa mbele so kwa pamoja wakamsupport John. Wilbrod nae akaona asipingane na marafiki zake majesuits, so akaikimbia chadema.

Edo akaenda chadema pamoja na Frederick. Wajerumani wakaona waendelee kumsapoti rafiki yao Edo huko chadema. Waingereza hawa kumwamini Edo, so mafreemason wakawa neutral. Baadhi ya maaskofu wachache wakikatoliki waliendelea ku msupport Edo kwenye uchaguzi mkuu. Maaskofu wengi wa kiprotestanti walimsupport Edo. Mashehe walikua wamegawanyika katikati.

So shughuli ile ya uchaguzi wa 2015 ilikua ngumu.
Just another Rubbish
 
Back
Top Bottom