Kwa mujibu wa uislam mtu anapokaribia kufariki huonyeshwa matendo yote alofanya katika maisha yake. Kisha huonyeshwa mafikio yake eidha motoni au peponi. Sasa wanasayansi wa leo wame prove hilo
Je,wajua kinachopita akilini mwako unapokaribia kufa?-Utafiti
Saa 7 zilizopita
CHANZO CHA PICHA...
Mchungaji mmoja na mkewe wamekamatwa kwa madai ya kuwafungia walemavu katika eneo la chini la nyumba yao.
Maafisa wa polisi wanasema kwamba Curtis Keith Bankston , 55, na mkewe walikuwa wakiendesha kituo cha kuwaangalia walemvu bila kibali , katika eneo la Griffin , karibu na jimbo la Atlanta...
In 1964, Paul McCartney of the Beatles famously sang, “I don’t care too much for money, money can’t buy me love.” While Mr. McCartney’s sentiments were definitely a major foreshadowing of the hippie, free-love movement that was to come in the ‘60s, it appears as though he was also onto a big...
MKUU wa wilaya ya Kaliua Mkoani Tabora Paul Chacha amewasimamisha kazi watumishi 2 wa Kituo cha Afya Kaliua kwa tuhuma za kufanya mapenzi wodini wakiwa zamu usiku.
Akitoa taarifa hiyo juzi mkuu wa wilaya hiyo alisema kuwa amechukua hatua hiyo baada ya watumishi hao kulalamikiwa na wagonjwa juu...
sasa nikuwe mara ngapi, hapo utaambia nabii kamfufua. Najua hicho ndo kinachofuata. Kama mpaka umri huu nilio nao sijawahi ona mtutu akifufuka bas sitakaa nikiiona hilo. Huyo alikuwa hajafa alikuwa chumbani kafichwa
Mwanaume mmoja nchini Kenya aitwaye Meme Kabati mwenye umri wa miaka 56 amelazwa Hospitali ya Nyambene Kaunti ya Meru baada ya Mkewe Karambu Meme, kumvuta na kuikata korodani yake moja kwa madai ya kwamba korodani hizo hazina faida kwakuwa Mumewe hajawahi kumridhisha kimapenzi kitandani hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.