Video: Marehemu afufuka baada ya miaka 14

Video: Marehemu afufuka baada ya miaka 14

digba sowey

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
10,398
Reaction score
22,941
Maajabu!!! mama aliyefariki mwaka 2008 na kuzikwa amepatikana akiwa hai, ndugu wanadai kuwa baada ya kumuona akiwa hai ilibidi waende hospitali kufanya vipimo vya DNA ili kuthibitisha kuwa ni yeye.

Inadaiwa kuwa alikuwa Ngamboshi akitumikishwa kazi ngumu!!

Nitaendekea kuwapa updates,kwani ndugu wanafuatilia kibari cha polisi ili kufukua kaburi lilitumika kumsitiri Marehemu

 
Back
Top Bottom