Recent content by wakuache

  1. W

    Ukweli kuhusu majina ya waliochaguliwa nssf

    sasa ni nini hasa kinacho kukufanya ucheke.......au sio ridhiki. watu wanatafuta maisha, nyie unafanya sehemu ya comedy sio
  2. W

    Msaada kuhusu application postal bank

    Pole sana ndugu....ila jamaa yangu alianza kupata tatizo kama ilo. Tukaulizi mtu wa ndani wa Postal bank, alisema kuwa account huwa inajaa email na wanabidi wazipunguze mara kwa mara. so, inawezekana wakati uantuma account inakuwa imejaa. Nachokushauri uwe unarudia kutuma kwa wakati tofauti...
  3. W

    Hot deal for accountants

    your contacts please,....i need more details
  4. W

    NSSF update

    Babu huna haja ya kufanya jazba, njoo na fact na source za keleweka tu sisi tutakuelewa! NSSF wana regional office 23, 14-district level branches na substation 14,...ambapo tally yake ni haifiki hata 60 ukiweka na mpya labda hazijafunguliwa. hata wakichukua operational officer 2 kila office...
  5. W

    NSSF update

    labda iwe 27 ila watu 200 ni nonsense,........... siku hii JF watu wanaandika sana makorokocho. Embu funguka, umejuaje 27?:confused2:
  6. W

    NSSF tunataka majibu ya tuhuma kuhusu 'udini'

    Babu jipange kabla ujauliza sensitive ishu kama hizi,.... swali lako hali mwonekano mzuri na linaharibu sifa nzuri ya kampuni ya mfano Tanzania. maana organisation profile ipo kwenye website yao ambayo inafanya kazi! Tafadhali, ili kudhibitisha ukilaza wako, embu sema ulipataje wazo la kuuliza...
  7. W

    Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

    Alisema mara ya kwanza alikaa kimya baada ya mtuhumiwa kumtishia kwamba angemdhuru kama angetoa taarifa ya tukio hilo alilofanyiwa wakiwa sebuleni nyumbani kwako Tabata Kimanga, lakini aliamua kutoa taarifa kwa ndugu zake baada ya kubakwa mara ya pili
  8. W

    Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

    We ULOKOLOKWITANGA ni mgumu wa kuelewa. sio ishu ya upande gani acha ufanya ushabiki, kila mtu ni innocent until proven guilt. jamaa ameongea kwa fact kabisa,...ni walakini ni za maana. maana hata m i naona watu tunashabikia mamabo ambayo hatujui unadani wake MWAKANDIKA DARI, WAKATI NYUMBA...
  9. W

    Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

    we ni smart kama patrick jane
  10. W

    RAV 4 Yateketea kwa moto Salender Bridge

    sure hizi gari zinatakiwa kurudi kiwandani, check link ya BBC hii Toyota yaregesha magari milioni 6 - BBC Swahili - Habari
  11. W

    Japan promises won’t abandon Uganda over law

    Fujitu nimemkubali hapa tu "This issue (anti-gay law) and aid are different...........".
  12. W

    Ushoga: Benki ya Dunia yasitisha mkopo kwa Uganda

    ahahah ahha ah,... walai wewe punga :A S 13:
  13. W

    Ushoga: Benki ya Dunia yasitisha mkopo kwa Uganda

    Hapa bongo tunavyoendekeza shida,... wale wawakilishi wakihaidiwa posho tu majanga ya kuwa mapunga yatatokea
Back
Top Bottom