Ilo litakuwa lingine,lenyewe jeupe
Sio nyeupe, utakuwa colour blind
Wadau,
Mida hii niko mishemishe yangu mitaa hii ya Salender Bridge mbele ya Ubalozi wa Urusi nimeshuhudia Rav 4 Nyeupe ''Kilitime'' inateketea mwanzo mwisho naamini hakuna kitu alichoweza kuokoa huyo aliyekuwa akiendesha.Fire wamekuja wakati moto umeshazimika wenyewe.Dereva wakati anashuka ameonekana kuchanganyikiwa kwani hata ile akili ya kwenda ku-disconnect battery hakupata.
Hapo nikapata wazo jinsi ambavyo huwa tunatozwa hele ya Fire tunapoenda kukata Road Licence matokeo yake tunaishia kuhonga Ma-traffic tunapokuwa hakuna nyenzo za kuzimia moto.Badili tabia.
Source .....
Source .....
Ilo litakuwa lingine,lenyewe jeupe.
Sasa ndiyo iwe mkopo na bado kumaliza....pole yake.
kasema gari ni ya kilitime kwa maana ni gari ya kilimanjaro beer.
Duuh nimecheka kweli but sometime kwenye kipindi kigumu watu huchanganyikiwa hasa ukizingatia asilimia kubwa wananunua gari kwa pressure za marafiki na ndugu wengine hivyo wengi wao unakuta amedunduliza kweli sasa likiwaka kama hivyo ni balaa alafu bima third party hapo lazima uchanganyikiwe (tunahitaji kujifunza art ya ku-relax hata kama kitu kikubwa kimetokea ili tuweze kufanya maamuzi sahihi)Wadau,
Mida hii niko mishemishe yangu mitaa hii ya Salender Bridge mbele ya Ubalozi wa Urusi nimeshuhudia Rav 4 Nyeupe ''Kilitime'' inateketea mwanzo mwisho naamini hakuna kitu alichoweza kuokoa huyo aliyekuwa akiendesha.Fire wamekuja wakati moto umeshazimika wenyewe.Dereva wakati anashuka ameonekana kuchanganyikiwa kwani hata ile akili ya kwenda ku-disconnect battery hakupata.
Hapo nikapata wazo jinsi ambavyo huwa tunatozwa hele ya Fire tunapoenda kukata Road Licence matokeo yake tunaishia kuhonga Ma-traffic tunapokuwa hakuna nyenzo za kuzimia moto.Badili tabia.
Documentation wanasahau jukumu la kuokoaDamn..too bad,kizazi cha social media kila mtu busy na simu yake tu ili awahishe picha fb nk