Museveni responds to Obama on anti-gay bill

Mkuu ni sawa.
Kinachonishangaza mimi, ni ile kutaka hadi kuwaua(hata hivyo kifungo cha maisha ni sawa tu na kuwaua)
Mamlaka ya kuua kuimbe cha Mungu unayapata wapi, hivi kubetray culture ni kosa lenye uzito wa kustahili kifo!?
Tunatakiwa tuwabane wazungu nao kwao wazitambue na kuzihalalisha mila za kiafrika kama polygamy n,k. na sio kufungana jela kwa sababu za kipuuzi tu.
Mkuu binafsi naamini hatuwezi kuharibu utu wetu eti kwasababu ya kuhofia kujenga mahusiano mabaya na wahisani, na kwa upande wangu me naendelea kuamini kwamba Human Rights should be culturall relative and not universal so Human rights should be interpreted within diferent culture kama ambavyo wao wanaamin kuwa baadhi ya mila nyingi za kiafrika ni mbaya ndivyo na waafrika nao wanaamini baadhi ya mila zao (kama ushoga) ni mbaya. So binafsi me naamin ishu nnzima ya haki za binadamu inatakiwa iendane na utamaduni wa sehemu husika yaani kama ilivyo kuwa kwa Obama na Cameroon David ushoga ni utamaduni wao basi waendele kuupromote katika nchi zao kama haki za binadam na si kulazimisha nchi za kiafrika ziendelee kuamini utamaduni wao.
By the way mbona huu ushoga hawaupigii kelele katika nchi za Asia kama Saudia, Irani na nyinginezo kwanini wang'ang'anize tu kwa nchi za Kiafrika?
 
Uganda's President Yoweri Kaguta Museveni has responded to criticisms from the USA, where President Barrack Obama said passing to the anti-homosexuality law would complicate relations.




During the Kyankwanzi annual retreat, President Museveni indicated he will assent to the anti-gay bill.

"I would like to discourage the USA government from taking the line that passing this law will “complicate our valued relationship” with the USA as President Obama said.

"Countries and Societies should relate with each other on the basis of mutual respect and independence in decision making," Museveni said.

He reassured all Ugandans and the international community of its continued commitment and respect for the rule of law.

respect mkuu
 
Mkuu ni sawa.
Kinachonishangaza mimi, ni ile kutaka hadi kuwaua(hata hivyo kifungo cha maisha ni sawa tu na kuwaua)
Mamlaka ya kuua kuimbe cha Mungu unayapata wapi, hivi kubetray culture ni kosa lenye uzito wa kustahili kifo!?
Tunatakiwa tuwabane wazungu nao kwao wazitambue na kuzihalalisha mila za kiafrika kama polygamy n,k. na sio kufungana jela kwa sababu za kipuuzi tu.

binafsi bado najiuliza why Africa?? Kwanin hawa jamaa wanang'ang'aniza sana haya mambo yao katika Afrika na si Asia?? Kwa upande wangu naamini waafrika tunatakiwa kuwa na cha kwetu na si kufuata yao kwa kila kitu bali kama kuna mazuri na yanayojenga tutayachukua lakini ya kijinga lazima tuyaache, Me nadhani ungepaswa kujiuliza mkuu kwamba ni kwanini hawa jamaa yanapotokea mambo ya kujenga kama kutuachia technolojia kwa ajili ya maendeleo why inashindikana?? Kwanini wanaificha Technolojia hawataki tuipate wakati maendeleo pia ni moja ya haki za binadamu lakini wao wanakomalia tu the so called ushoga, kwanini hawakomai kwa makampuni yao jamii ya African barick Gold mining ambayo yamekuwa yakiwanyanyasa wazawa katika maeneo mbalimbali wanakofanya kazi zao lakini waje wakomae na ushoga tu?? so binafsi namuunga mkono museven adhabu ya kifungo cha maisha jela.
 
which year museven is going to retire in Uganda? we need you to to our president here....tz
 
I give you 5, for this outstanding and bold view on the issue of gays. For the first time, you have won my heart a vital point.

It is called homosexuality and not Gayism as those who want to push it down our throats coined a nice-sounding word for it. There is a lot of deliberate misunderstanding on this issue. Africans from times immemorial recognized there were people in the society with homosexual tendencies. In many places in Africa these people were tolerated as long as they did not promote their behaviours or make provocations. So the issue has never been that of the rights of the homosexuals.
What the West want us to do now, and which we are against, is to make homosexuality as a normal phenomenon that can be promoted in the society and of which one can be proud. And to have 'communities' of homosexuals just as in the West. This is something we are against. We are not against the existence of the homosexuals or even practicing their habits. In many African countries, any person who inflict harms on the homosexuals while practicing their rituals in complete responsible and sensitive manner are punished by the law.
It is so stupid of Obama to highlight a non-issue in which less than 1% of the Africans are involved in, and forget about the real issues of poverty, lack of education, health etc from which more than 97% of Africans suffer....then he calls his antics as defending democracy! (democracy of the few against the majority) On which planet does he live?!!
 
While writing this I also realized that Obama is actually a double-standard freak, someone who stands for nothing. Let's see if he will equally promote homosexuality on his forthcoming visit to Saudi Arabia!
 
Akubali mara ngapi...I was shocked nilipoona map ya Afrika iliyotolewa na Amnesty International ikionyesha nchi ambazo ushoga ni ruksa kisheria; Rwanda ikiwemo....ndio maana alikuwa their 'darling'.

Ngoja ntai copy niiweke humu kama ntaweza....


kagame angekubali ushoga mara moja ili apate silaha kutoka america
 
A real African.

And who is a "real African"? Waafrika wengi hawajui hata maana ya ushoga.

Ulisoma watu hapa walivyokuwa wanamwagia masifa Mugabe alipodai kuwa Obama akubali kuolewa nae kabla ya kuruhusu ushoga Zimbabwe?

Wengi walimfagilia wakidai kuwa anawakilisha "real African men" wachahe waliobakia Afrika.

Kwa maana nyingine, Waafrika wengi huwa wanaamini kuwa "basha" siyo shoga.

Yaani kuwa "basha" Bongo ni sifa. Unawezakuta hata hiyo sheria iliyopitishwa Uganda inawa-exempt "mabasha" kuwa siyo mashoga.
 
And who is a "real African"? Waafrika wengi hawajui hata maana ya ushoga.

Ulisoma watu hapa walivyokuwa wanamwagia masifa Mugabe alipodai kuwa Obama akubali kuolewa nae kabla ya kuruhusu ushoga Zimbabwe?

Wengi walimfagilia wakidai kuwa anawakilisha "real African men" wachahe waliobakia Afrika.

Kwa maana nyingine, Waafrika wengi huwa wanaamini kuwa "basha" siyo shoga.

Yaani kuwa "basha" Bongo ni sifa.

Watajuaje maana ya ushoga wakati wengi wao wanajitoa kabisa fahamu wakisikia tu neno "shoga".

Anyway, Mugabe na Museveni ndo mashujaa wetu wa karne ya 21!
 
Watajuaje maana ya ushoga wakati wengi wao wanajitoa kabisa fahamu wakisikia tu neno "shoga".

Anyway, Mugabe na Museveni ndo mashujaa wetu wa karne ya 21!

Wabongo wengi ni wanafiki tuu. Tanzania kuna mashoga wa kumwaga kama kulivyo na mafisadi.

Wana-practice ushoga waziwazi kama mafisadi wanavyo-practice ufisadi wao na hakuna anayewafanya chochote.

Wengine wanapenda kulalama na kusifia hatua zinazochukuliwa na nchi nyingine, lakini unawakuta walalamikaji hao wakiwa na hao mashoga kwenye bar, night clubs, nk.

Ni unafiki tuu. Walalamikaji don't walk the talk.
 
And who is a "real African"? Waafrika wengi hawajui hata maana ya ushoga.

Ulisoma watu hapa walivyokuwa wanamwagia masifa Mugabe alipodai kuwa Obama akubali kuolewa nae kabla ya kuruhusu ushoga Zimbabwe?

Wengi walimfagilia wakidai kuwa anawakilisha "real African men" wachahe waliobakia Afrika.

Kwa maana nyingine, Waafrika wengi huwa wanaamini kuwa "basha" siyo shoga.

Yaani kuwa "basha" Bongo ni sifa. Unawezakuta hata hiyo sheria iliyopitishwa Uganda inawa-exempt "mabasha" kuwa siyo mashoga.

M7 anasema ushoga ni tabia za 'west' na ni kinyume na maadili ya kiafrika. Hivi Paedophilia ni maadili ya wapi?

Uganda kuna tatizo kubwa sana la paedophilia. Ni majanga matupu mambo wanayofanyiwa watoto lakini sijui M7 amerukia hilo la ushoga na kuuacha haya mengine?
 
M7 anasema ushoga ni tabia za 'west' na ni kinyume na maadili ya kiafrika. Hivi Paedophilia ni maadili ya wapi?

Uganda kuna tatizo kubwa sana la paedophilia. Ni majanga matupu mambo wanayofanyiwa watoto lakini sijui M7 amerukia hilo la ushoga na kuuacha haya mengine?

Kumbuka hizo zote ni tabia tu
Museveni ameshaanza kuzikomesha. Si mbaya
 
jembe la uganda lakataa ushoga then wajinga wa marekani wareact eti wagoma kuwapa financial assistance hahaha is that sence??
 
Back
Top Bottom