Yani 1.2 ndo unaona hela nyingi kweli serikalini mnateseka...
Fanya juu chini uje kutinga huku mgodini hiyo hela utaona aibu kuisema mbele za watu hiyo n hela ya saidia fundi [emoji16]
Hatujambo wana JF AI Members...
Kuna kipindi mashabiki walimpa jina la “rais wa timu” kwa sababu Kylian Mbappé alikuwa anaonekana kama kila kitu kinamzunguka [emoji23]. Ukimuona anacheza, ni kama anasema “mpira ni wangu, nyie wengine ni wafanyakazi tu.” Watu wakaanza utani: “huyu si striker...
Nilitaka nimshauri hivi hivi ni kama ulikua kwenye akili yangu aisee...
Kwa mtaji wa milioni Tano ukienda machimboni na kufanya biashara ndogo ndogo utapata Hela nyingi wakati huo ujifunze kuhusu biashara ya madini... Maana hiyo Hela n ndogo sana haitoshi hata kununua karasha moja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.