Recent content by Wakipekee

  1. Wakipekee

    KITABU: Kamlete, akibisha mlipue by Hammie Rajab

    Oi leta vitu mkuu
  2. Wakipekee

    Gamondi: Sijawaona Aziz Ki na Diarra kambini mpaka sasa

    Baada ya game ntakurudia
  3. Wakipekee

    CAF Champions League: Tupia utabiri wako wa weekend hii

    Hii pepa n kama imevuja ... Kitu ambacho Nina uhakika nacho n Yanga kushinda Kwa Bao 3 Kwa 1
  4. Wakipekee

    CAF Champions League: Tupia utabiri wako wa weekend hii

    Simba 1 Al ahly 3 Yanga 3 Mamelodi 1 Amini Mimi ndo nabii wa kizazi hiki
  5. Wakipekee

    Kisa uchawi, Simba yaadhibiwa tena na TFF

    KOLO WIZARDS [emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
  6. Wakipekee

    Stori gani ushawahi kusimuliwa kuhusu mchezaji wa mpira kumbe kamba?

    Ila nakumbuka kama alipiga pembeni sio kama waliuruka mpira Bali ulizunguka ndo likaenda kua Goli moja matata Sana .. By the way mi shabiki wa kudumu wa Brazil lakini nilikua nampenda Sana Oliver khan kwangu anabaki kua kipa Bora wa muda wote akifatiwa na Tony silver
  7. Wakipekee

    Stori gani ushawahi kusimuliwa kuhusu mchezaji wa mpira kumbe kamba?

    Umenikumbusha mbali Sana Ile siku Man U WALICHAPIKA na Barcelona Mzee ferguson akawa anatetemeka JoJo (big G) zilikia chungu kwake [emoji23][emoji23][emoji23]
  8. Wakipekee

    Je, ulitumia uongo gani kumpata demu?

    Wakati nafanya kazi kwenye ofisi za mikopo jina la MENEJA lilinipq mademu bila kuongea
  9. Wakipekee

    Wimbo wa Sukari wa Zuchu umefikisha views 100M kwenye mtandao wa YouTube

    Kila siku ntaendelea kusema ZUCHU NDO MSANII BORA WA KIKE KUWAHI KUTOKEA HAOA TZ
  10. Wakipekee

    Stori gani ushawahi kusimuliwa kuhusu mchezaji wa mpira kumbe kamba?

    [emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji2]
  11. Wakipekee

    CAF yafungua usajili wa muda mfupi kwa timu zilizoingia robo fainali

    [emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
  12. Wakipekee

    Mechi ya Dar Young Africans vs Mamelodi Sundowns yapewa heshima ya siku ya Mudathir aka Muda Day

    Kumbe ijumaa kuna mechi na hamsemi [emoji22]
  13. Wakipekee

    KITABU: Kamlete, akibisha mlipue by Hammie Rajab

    Oi shuhsa vitu mkuu
  14. Wakipekee

    Ni nyimbo gani unaipenda ila huwezi sikiliza mbele ya watu

    Hadi ofisini kwetu hua wananitania sana kuhusu Zuchu namkubali sana Sana huyu bi dada anajua kutunga
  15. Wakipekee

    Ukweli Mchungu: Simba atapigwa nje ndani na Al ahly

    Tukutane baada ya game [emoji28]
Back
Top Bottom