Recent content by Wakipekee

  1. Wakipekee

    JamiiForums Tanzania Nifanyeje namimi niweze kuongea bass kubwa ya kunguruma

    [emoji16]
  2. Wakipekee

    JamiiForums Tanzania Kenya nzima IPO gizani, wenda Tanzania ikawa gizani siku 3

    Umejuaje mzee hapa simu yangu ina 6% sijui kama nitamaliza kutyp..
  3. Wakipekee

    JamiiForums Tanzania Camera failed error Samsung S25

    Kuhack kivipi
  4. Wakipekee

    JamiiForums Tanzania Madogo wa Kiume, Acheni Tabia ya Kuja Inbox Kuomba Hela

    Hasa ukichangia mada kwenye jukwaa la biashara..
  5. Wakipekee

    JamiiForums Tanzania Kipato changu ni 400k na marupurupu 300k kila mwezi. Nahitaji kufungua biashara ya kuuza juisi na maziwa ili kidogo nipate chochote

    Good kama upo mwanza biashara rahisi mi ni kuuza mihogo kama ile ya coco beach sio kama ile ya kina mama asubuhi.. fungua kibanda kizuri weka kijana.. pia unaweza kuongeza soda weka barabarani..
  6. Wakipekee

    JamiiForums Tanzania Gawio la mitandao ya simu ni kero tupu

    Kwa vodacom gawio hua zuri kama umeweka pesa kwenye akaunti za akiba binafsi mi hua naweka kwenye MGODI walau gawio liko poa kila mwezi.. sema walau uwe na akiba ya milion plus
  7. Wakipekee

    JamiiForums Tanzania Ushajiuliza swali kuhusiana na jambo fulani hadi ukakosa jibu?

    Tofauti ya Kenya na huku kuhusu polisi ni moja huku ukishambuliwa na polisi kesi yako ni dhidi ya jeshi la polisi lakini Kenya polisi akikufanyia unyama atasimama yeye kama yeye mahakamani hatakua na backup ya jeshi na mahakama haifati maelekzo ya mtu yyt bali n vifungu tu so akizngua anaenda...
  8. Wakipekee

    JamiiForums Tanzania Kuishi nchi ya ugenini kunaniweka matatani

    Oi shusha vitu mwamba
  9. Wakipekee

    JamiiForums Tanzania FT: England 1-2 Argentina | World Cup 2026 | Mercedes-Benz Stadium | 15 Julai, 2026 | Nusu Fainali

    Go Messi nipigie hao wakoloni
  10. Wakipekee

    JamiiForums Tanzania Pesa haihitaji kelele, ukiona mtu anajitapa, mpuuzie. ‘GSM wa Katoro’ kafanya matusi aseee

    Dunia uwanja wa fujo kwann ukae kinyonge
  11. Wakipekee

    JamiiForums Tanzania Shangazi yangu hadi leo ananichukia kisa mimi niligoma ku-tune Redio Maria, badala yake nilikomaa na XXL ya Clouds FM

    2007 hadi ni miaka 29... 1. Bado upo kwenu? 2. Bado shangazi anakuchukia.. [emoji16]
Back
Top Bottom