Ila nakumbuka kama alipiga pembeni sio kama waliuruka mpira Bali ulizunguka ndo likaenda kua Goli moja matata Sana ..
By the way mi shabiki wa kudumu wa Brazil lakini nilikua nampenda Sana Oliver khan kwangu anabaki kua kipa Bora wa muda wote akifatiwa na Tony silver
Umenikumbusha mbali Sana Ile siku Man U WALICHAPIKA na Barcelona Mzee ferguson akawa anatetemeka JoJo (big G) zilikia chungu kwake [emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.