Recent content by Wakipekee

  1. Wakipekee

    Nataka kujihusisha na uchimbaji mdogo wa madini ya dhahabu. Nina Milioni 5

    Nilitaka nimshauri hivi hivi ni kama ulikua kwenye akili yangu aisee... Kwa mtaji wa milioni Tano ukienda machimboni na kufanya biashara ndogo ndogo utapata Hela nyingi wakati huo ujifunze kuhusu biashara ya madini... Maana hiyo Hela n ndogo sana haitoshi hata kununua karasha moja
  2. Wakipekee

    Biashara gani mtu anaweza kufanya kwa mtaji wa 10m?

    Mbona ndogo sana [emoji1]
  3. Wakipekee

    Nawezaje kujiunga Telegram?

    Naona kujiunga kwa namba mpya ndo changamoto maana CCM Walishaufungia huo mtandao
  4. Wakipekee

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mbona Jana ilikua siku poa sana
  5. Wakipekee

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hujawahi nifelisha ngoja nipite nayo
  6. Wakipekee

    Jinsi ya kutengeneza uhuru wa kifedha (financial freedom) katika maisha

    Wakati mi na milioni kumi ila hata sielewi nifanye biashara gani [emoji23]
  7. Wakipekee

    Gharib Mzinga apunguze kutoa historia kwenye mechi, atangaze mechi bhana

    Ndo style yake akibadilika atakua sio Mzinga tena
  8. Wakipekee

    Nilivyoimba Zanzibar

    Natamani ningelisikia melody yake
  9. Wakipekee

    Makonda: Kuna timu ilichimba nyasi uwanja wa Mkapa, ikaweka Dawa na kusababisha fangasi kisa ushirikina

    Hapa ndo serikali inawamudu watanzania kwa kuwapa mijadala ya kitahila... Uwanja watu wanapiga mabilioni kibao unadhani Makonda ni mjinga kung'ang'ania uwaziri wa michezo? Uwanja wa mkapa umewatajirisha watu wengi sana hii ni mbinu ya kuhamisha mijadala na watanzania vile hawajitambui...
  10. Wakipekee

    Orodha ya wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya

    Kuna wasanii hapo umewakosea sana mfano TNG Squad hawakuhit na ngoma Moja tu ya Bongo dot com Bali walikua na ngoma zingine mfano Ring on it ilivuma hata kuliko Bongo dot com... O Ten alikua na mapini mengi tu mfano sifa kumi za demu, Mkuu wa mkoa na Akipendacho Binti...
  11. Wakipekee

    Mtaji 70m biashara yangu ya duka la vyakula imeshuka sana nifanye biashara ipi

    Boss ulishawahi kusoma kitabu cha the richest man in Babylon ?? Natamani Kila mtu angekisoma hiki kitabu bahati nzuri kipo humu Jamii Forum kwa kiswahili "Mtu tajiri zaidi katika babeli.." Hiki kitabu kimeelezea siri ya kupata faida katika biashara hata kama ni ngumu vipi... Nitaeelezea huko...
  12. Wakipekee

    Mkiambiwa kuwa hamna akili msiwe wabishi. Kila kukicha wanaharakati wenu wajinga wanazusha mambo halafu mnataka serikali itoe majibu

    Lini Mange kasema Mafwele kabakwa? Nioneshe sehemu mange anayosema hivo nakupa elfu hamsini za kitanzania
  13. Wakipekee

    Kiuhalisia kabisa Elias Kihombo yupo overrated, anakuzwa na alijikuza mno ila alikuwa wa kawaida sana

    Sometimes mtu kumdiss mtu asiyemjua inabidi tu ucheke... Elias alikua balaa sana bahati nzuri kanipigisha mapindi pale mchikidown Mungu amlaze pema..
Back
Top Bottom