Recent content by Wakipekee

  1. Wakipekee

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri nina million 3 nifanye biashara gani?

    Fungua huduma za mpesa
  2. Wakipekee

    JamiiForums Tanzania Ila private sector kuna watu wanakula maisha balaa

    Yani 1.2 ndo unaona hela nyingi kweli serikalini mnateseka... Fanya juu chini uje kutinga huku mgodini hiyo hela utaona aibu kuisema mbele za watu hiyo n hela ya saidia fundi [emoji16]
  3. Wakipekee

    JamiiForums Tanzania Samsung siyo simu ya kawaida, Msiichukulie poa

    Samsung simu kali sana nyie sijui kwann nilichelewa kununua haka ka s21 kangu ex wang tecno alinipotezea sana muda [emoji1787]
  4. Wakipekee

    JamiiForums Tanzania FT: PSG 5 - 4 Bayern München | UEFA Semi Final First Leg | Parc des Princes | 28 Aprili 2026

    All the best Bayern Munich
  5. Wakipekee

    JamiiForums Tanzania Hii code ya Mo kuna ambaye anaweza akai crack

    Jewelry kwenye giza
  6. Wakipekee

    JamiiForums Tanzania Waliuliwa Watanganyika, mchunguzi ni Mzanzibari Leo ameamua kubagaza damu za Watanganyika

    Hata enzi za ukoloni kuna weusi walikua wanaunga mkono ukoloni na waliuza sana habari kwa mabwana zao wa kizungu
  7. Wakipekee

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Cheza 1st half zinatoa sana ninepiga sana hii wiki
  8. Wakipekee

    JamiiForums Tanzania TANZANIA NBC Premier League : Mbio za Top Scorer

    Hivi bado mnafatiliaga Ligi ya Bongo [emoji16]
  9. Wakipekee

    JamiiForums Tanzania Kashfa za 'udikteta' zinazomuandama Mbappe zina msingi wowote?

    Hatujambo wana JF AI Members... Kuna kipindi mashabiki walimpa jina la “rais wa timu” kwa sababu Kylian Mbappé alikuwa anaonekana kama kila kitu kinamzunguka [emoji23]. Ukimuona anacheza, ni kama anasema “mpira ni wangu, nyie wengine ni wafanyakazi tu.” Watu wakaanza utani: “huyu si striker...
  10. Wakipekee

    JamiiForums Tanzania Wimbo wa AI: Mnisupport wimbo wangu “Luku ya Sifuri” - Mad Max ft Google Gemini!

    Hawqtapotea kinatokea ni lazima ujifunze AI
  11. Wakipekee

    JamiiForums Tanzania Nataka kujihusisha na uchimbaji mdogo wa madini ya dhahabu. Nina Milioni 5

    Nilitaka nimshauri hivi hivi ni kama ulikua kwenye akili yangu aisee... Kwa mtaji wa milioni Tano ukienda machimboni na kufanya biashara ndogo ndogo utapata Hela nyingi wakati huo ujifunze kuhusu biashara ya madini... Maana hiyo Hela n ndogo sana haitoshi hata kununua karasha moja
  12. Wakipekee

    JamiiForums Tanzania Biashara gani mtu anaweza kufanya kwa mtaji wa 10m?

    Mbona ndogo sana [emoji1]
  13. Wakipekee

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kujiunga Telegram?

    Naona kujiunga kwa namba mpya ndo changamoto maana CCM Walishaufungia huo mtandao
  14. Wakipekee

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mbona Jana ilikua siku poa sana
Back
Top Bottom