Nilitaka nimshauri hivi hivi ni kama ulikua kwenye akili yangu aisee...
Kwa mtaji wa milioni Tano ukienda machimboni na kufanya biashara ndogo ndogo utapata Hela nyingi wakati huo ujifunze kuhusu biashara ya madini... Maana hiyo Hela n ndogo sana haitoshi hata kununua karasha moja
Hapa ndo serikali inawamudu watanzania kwa kuwapa mijadala ya kitahila...
Uwanja watu wanapiga mabilioni kibao unadhani Makonda ni mjinga kung'ang'ania uwaziri wa michezo? Uwanja wa mkapa umewatajirisha watu wengi sana hii ni mbinu ya kuhamisha mijadala na watanzania vile hawajitambui...
Kuna wasanii hapo umewakosea sana mfano TNG Squad hawakuhit na ngoma Moja tu ya Bongo dot com Bali walikua na ngoma zingine mfano Ring on it ilivuma hata kuliko Bongo dot com...
O Ten alikua na mapini mengi tu mfano sifa kumi za demu, Mkuu wa mkoa na Akipendacho Binti...
Boss ulishawahi kusoma kitabu cha the richest man in Babylon ??
Natamani Kila mtu angekisoma hiki kitabu bahati nzuri kipo humu Jamii Forum kwa kiswahili "Mtu tajiri zaidi katika babeli.."
Hiki kitabu kimeelezea siri ya kupata faida katika biashara hata kama ni ngumu vipi... Nitaeelezea huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.