Good kama upo mwanza biashara rahisi mi ni kuuza mihogo kama ile ya coco beach sio kama ile ya kina mama asubuhi.. fungua kibanda kizuri weka kijana.. pia unaweza kuongeza soda weka barabarani..
Kwa vodacom gawio hua zuri kama umeweka pesa kwenye akaunti za akiba binafsi mi hua naweka kwenye MGODI walau gawio liko poa kila mwezi.. sema walau uwe na akiba ya milion plus
Tofauti ya Kenya na huku kuhusu polisi ni moja huku ukishambuliwa na polisi kesi yako ni dhidi ya jeshi la polisi lakini Kenya polisi akikufanyia unyama atasimama yeye kama yeye mahakamani hatakua na backup ya jeshi na mahakama haifati maelekzo ya mtu yyt bali n vifungu tu so akizngua anaenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.