Habari wanaJF...
Oke! Baada ya salamu nirudi kwenye mada yangu, jinsi gani biashara ndogo ya tofali ilivyonipa faida kubwa kwa jasho na damu.
Miezi kama minne nyuma nilipata idea ya kuuza tofali za kuchoma. Hii idea ilikuja baada ya kuteseka sana kupata tofali wakati wa ujenzi wa nyumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.