Ukikosea ni vema uwe muwqzi kama lengo ni kusahihisha. Kuficha kosa maana yake unataka kuendelea kukosea. Unadhani wazazi hawana msaada? Kama ulikosea na unataka wasijue kosa lako huoni unawakosea zaidi?
Sent from my HUAWEI G525-U00 using JamiiForums mobile app
Mustakabali wa maisha yako unao wewe mwenyewe! Hakuna ruhusa ya kukata tamaa! Hiyo ni dhambi kubwa sana. Kukata tamaa huongoza katika maamuzi ya ajabu na yenye majuto. Kumbuka kila mtu katika safari ya maisha ana njia yake mwenyewe na hakuna kufanana. Walioolewa wameolewa ni kweli. Wewe endelea...
Lakini amesema kuwa alipatwa na mshiruko na kupoteza fahamu! Kwa vyovyote baada ya alipozinduka, yule chatu alikuwa tayari ameshamuua huyo rafiki yake kwa kumvunja vunja mbavu.
Tabia haiko katika mwili na wala siyo hia. Hata mhusika kwa kawaida huwa hana jambo la kufanya ili aweze kubadilisha tabia yake. Kwa kawaida tabia ziko mbili tu (nzuri na mbaya) na kila 1 inakuwa controlled na mhusika fulani! Nzuri controller wake ni Mungu na mbaya controller ni shetani. Sura na...
Tabia zinazobadilika ni kwa sababu wenye tabia hizo kuna mambo waliyoyatarajia katika kumua kuoa/kuolewa kwao. Matarajio yanaposhindwa kufikiwa ndipo kinajitokeza hicho unachokisema kubadilika tabia.
Tabiq iko ki naymbile! Unawezaje kum- control mtu aliyeunbwa ba tabia dulani? Anayebadilisha tabia ni Mungu tu. Akikushinda kum control matokeo yake unakimbia mji na kishia kuwa na stress!
Hata kama mtu ameongea jambo ambalo halikufurahishi, sidhani kama kumwita binadamu mwenzako kenge ni sahihi. Hivi kweli wewe ulishawahi kujibishana na kenge kwa jambo lolote! Tujitahidi kutumia lugha za kiungwana jamani.
Hakuna mtu asiyekosea! Hatuwezi kutumia udhaifu wa ki asili kuwadhulumu watu haki zao. Kila mtu anapenda kuwa extra careful, nature inatufanya kushindwa. Jambo muhimu ni kuwa waaminifu tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.