Ni kweli ,umenena sawasawa kuwa jamaa achukuliwe na CUF, coz CDM hatakiwi kabisa kutokana na uroho wa madaraka nakupend kuanzisha migogoro, aliyemwita bwana migogoro hakukosea, nashauri viongozi wangu wa cdm waepukkane na hiki kirusi kinachojiita kafulila, kama mnataka kuleta bifu kati ya HECHE...