Hata hivyo Leo saa Kumi Hamadi rashid anafungua tawi la CUF kata ya Mabibo -eneo la CHECHINIA sijui kama watapona maana Blugad wameaagizwa kwenda hapo!!!
Hilo tawi kafungua? Au imekuwa kama jana pale Manzese. Seif kiboko, nchi nzima chama hakuna kufanya mkutano hadi aidhinishe yeye na bado tunasema hicho ni chama. Kazi tunayo.