Hivi sasa na kwa muda mrefu hali ya watu ya kutofanya uchunguzi na uchambuzi wa masuala mbalimbali kwa umakini na kina cha kutosha vinazidi kushika kasi hapa nchini, hii ni kutokana na kile kuwa watu fulani wamekuwa BENDERA fuata upepo,kwa mfano inashangaza kuona na kusikia kuwa watu wanalalamika baada ya katibu mkuu wa nccr mageuzi kumvua ukatibu mwenezi wa chama bw. KAFULILA aka Bw. MIGOGORO eti kwa sababu ni mtu maarufu,mara wengine kafulila ni mjenga hoja mzuri bungeni nk,JE, HIYO NI SABABU YA YEYE AKIFANYA MAKOSA ASIADHIBIWE? Anayesema ndiyo,basi ndiye Mnafiki na kipofu wa Tanzania ktk tasnia ya siasa na mpumbavu wa kwanza, nasema hivyo kwa sababu haitoshi kwa mtu mzima mwenye akili timamu akaamtetea mwovu aina ya kafulila ambaye sababu za kumpinga zipo na za kutosha kama ambavyo Mh. machali alivyowahi kueleza, Kafulila siyo mungu na kwamba ahwezi kukosea, ni mkosefu kama ilivyo kwa binadamu wengine,fanyeni utafiti mtakubaliana nami kuhusu uovu wa kafulila,ni mtu mwongo,mzushi na mnafiki kama baadhi ya watanzania wanaomtetea huyu jamaa bila kujua ukweli wa mambo yanayomkabili hivi sasa. Rejeeni alipofukuzwa Chadema na Dr.slaa,ina maana kila siku watu wanamuone yeye tu?kwa lipi au yapi ya kumuonea? Ondoeni upofu msije mkazidi kulaaniwa kama ambavyo baadfhi yetu wameshalaaniwa na kutaka kuwaaminisha watu wote waone kafulila anaonewa, huu ni ujinga wa hali ya juu, na itakuwa ni ujinga uliokithiri kwa watu kumuamini na kujifanya vipofu kwa nmtu anayependa kanzisha mitafaruku kila anapokaribishwa mahala fulani, tusisahau yale ya Chadema walipomfukuza chini ya Dr. SLAA, Hakuwa mwehu kumshughurikia kafulila hadi kuamua kumuita sisimizi kafulila, leo yupo nccr anafanya mambo kama yale yale, tuepuke tabia ya kumtetea mtu anayemzushia mwenzake hata kama ni mkosaji kiasi gani, hapa kinachoonekana ni kuwa baadhi ya watu wanamuona MBATIA kuwa mkosefu ktk jamii kwa sababu zao binafsi na nyingi ni za kizushi kama kafulila, kumuona hivyo mbatia haimaanishi kuwa hawezi kukosewa na akaamua kuchukua hatua? anayepinga hili ni mpumbavu kupita amelezo,